Mwanaume huyu anaelekea kunishinda kwa ulevi wake

🤣 🤣 🤣 🤣 hii Dunia ina mambo mengi sana.
 
Pole sana mpendwa kwa changamoto unazopitia hapo sasa ni wewe mwenyewe uamue kusuka au kunyoa.
 
si umuelekeze unavyotaka bibie
 
Usiombe akavuta bangi na mkaenda sita kwa sita utadhani anatwanga kisamvu kwenye kinu haha[emoji23]
 
Trust me sina njaa, na nilimpenda ila sasa ganja na pombe ndo kitu sipendi sana, na ganja yake si local, kwa hiyo ata kuhisikia si rahisi
Tatzo lenu wasimbe hua mnakurupuka sana,matokeo yenu mnakuja kujuta baadae,
 
Zamu yenu kufukuza wenza
 
JF mahali watu wanajisikia kuandika chochote na kuweka matangazo yao
 
dagaa mada zako zina uongo mwingi sana, hongera kwa kuchangamsha kijiwe. Mara ndoa ina miaka sita, mara ina zaidi ya miaka kumi...
 
Ko ulidhani mke wake alivyoamua ku dicorce,we ndo umeokota dodo chini ya mnazi???Pambana naye tu hakuna namna.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…