MWANAUME INGIA HAPA

MWANAUME INGIA HAPA

Aina ya wanawake wa kuepuka maishani mwako:-
1. Mwanafunzi
2. Mke wa mtu

Kama wewe Malaya, Kuna wanawake wengi sana mtaani mpaka baani.

Kuamua kuingia kwenye mahusiano na mke wa mtu ni dharau na kumkosea heshima Mwanaume mwenzako. Zaidi matokeo yake huwa mabaya sana.

Mwanafunzi ni mtoto au mdogo wako, mara nyingi wao hawajali maana maisha halisi hawayajui. Ni wewe unayepaswa kujizuia na kuwaepuka.
 
Aina ya wanawake wa kuepuka maishani mwako:-
1. Mwanafunzi
2. Mke wa mtu

Kama wewe Malaya, Kuna wanawake wengi sana mtaani mpaka baani.

Kuamua kuingia kwenye mahusiano na mke wa mtu ni dharau na kumkosea heshima Mwanaume mwenzako. Zaidi matokeo yake huwa mabaya sana.

Mwanafunzi ni mtoto au mdogo wako, mara nyingi wao hawajali maana maisha halisi hawayajui. Ni wewe unayepaswa kujizuia na kuwaepuka.
Sasa kuna watu hao ndo watu wao
 
20241003_091956.jpg
 
Watu wenye hekima na akili za kimafia walifanya yote hayo lakini waliishia kusema za mwizi ni 40.
 
Cha kufia nini na maisha magumu hivyo.. si utafute mke wako mmoja umtunze, umpende alafu ujipimie mbona watu mnapenda maisha ya shida hivyo bila sababu ya msingi.
 
Cha kufia nini na maisha magumu hivyo.. si utafute mke wako mmoja umtunze, umpende alafu ujipimie mbona watu mnapenda maisha ya shida hivyo bila sababu ya msingi.
Mke hatoshi_
 
Hivi wewe ndo umeweka na tangazo la kuuza madirisha na milango ya alminium?

Ushapoteza baadhi ya wateja kwa taarifa yako maana mtu akikusoma hapa anajua kabisa huyu sio wa kuambatana nae kwa lolote.

Nakumbuka waume wa watu ndo wateja wakubwa wa bidhaa zako.

Shame on you.
 
Shaloom shaloom shaloom

HAPA NINA CODE CHACHE SANA
KAMA HUKWENDAGA QUBA BAS SOMA HII ITAKUSAIDIA

Kutembea na mke wamtu
_tafuta namba mpya tofauti nayakwako (namba mama) mkiwa mnawasiliana
_usimtumie sms maisha yako yote (zingatia sana hii)
_hata kama huna mke ila mwambie naww upo kwenye ndoa au mahusiano imara sana
_usisubutu kwenda kwake hata akuambiaje (usiende usiende usiende )
_mkikubaliana mkutane sehemu fulani akifika tu chukua boda muende sehemu ingine (usimwambie mnakoenda )
_hakikisha mkiwa pamoja simu yake unayo ww au kama anayo yeye asiwe anachat chat (utakuja kukamatwa kama kuku)
_pambana umjue mumewe hata kwapicha (mjue adui yako ili ujue unamkwepa vipi)
_hakikisha kama una mke -huyo mke wamtu asiijue namba yamkeo (kuna siku atampigia mkeo ) hii hata mchepuko wako asijue namba yamkeo kuna siku watapigiana simu ww ukiwa kazini
_usizoee kwenda nae sehemu moja kila siku (utakuja kulia huku unasaga meno)
_hakikisha hamtumii usafiri wa-umma (daladala usipande nae hata kwafimbo) _kuna siku mtapanda na shemeji wa mke au mme wake bila nyie kujua
_mkiwa mnatoka gest hakikisha ww ndo wakwanza kutoka (akianza kutoka yeye anaweza rudi nawatu ndani kuwa makini)
_usipige pige simu kila muda hata kama akikwambia mumuwe hayupo (viumbe hatari sana hawa)


USIMWAMBIE MADHAIFU YAMKEO HATA KAMA MKEO ANAYOKWELI
___KAA UKIJUA UKILA VYAWATU NAWW WAKO ATALIWA ..!
NAWASILISHA
Usisahau kuwashauri wabebe na futa la kutosha ili wakifumaniwa mambo yawe rahisi.
 
Shaloom shaloom shaloom

HAPA NINA CODE CHACHE SANA
KAMA HUKWENDAGA QUBA BAS SOMA HII ITAKUSAIDIA

Kutembea na mke wamtu
_tafuta namba mpya tofauti nayakwako (namba mama) mkiwa mnawasiliana
_usimtumie sms maisha yako yote (zingatia sana hii)
_hata kama huna mke ila mwambie naww upo kwenye ndoa au mahusiano imara sana
_usisubutu kwenda kwake hata akuambiaje (usiende usiende usiende )
_mkikubaliana mkutane sehemu fulani akifika tu chukua boda muende sehemu ingine (usimwambie mnakoenda )
_hakikisha mkiwa pamoja simu yake unayo ww au kama anayo yeye asiwe anachat chat (utakuja kukamatwa kama kuku)
_pambana umjue mumewe hata kwapicha (mjue adui yako ili ujue unamkwepa vipi)
_hakikisha kama una mke -huyo mke wamtu asiijue namba yamkeo (kuna siku atampigia mkeo ) hii hata mchepuko wako asijue namba yamkeo kuna siku watapigiana simu ww ukiwa kazini
_usizoee kwenda nae sehemu moja kila siku (utakuja kulia huku unasaga meno)
_hakikisha hamtumii usafiri wa-umma (daladala usipande nae hata kwafimbo) _kuna siku mtapanda na shemeji wa mke au mme wake bila nyie kujua
_mkiwa mnatoka gest hakikisha ww ndo wakwanza kutoka (akianza kutoka yeye anaweza rudi nawatu ndani kuwa makini)
_usipige pige simu kila muda hata kama akikwambia mumuwe hayupo (viumbe hatari sana hawa)


USIMWAMBIE MADHAIFU YAMKEO HATA KAMA MKEO ANAYOKWELI
___KAA UKIJUA UKILA VYAWATU NAWW WAKO ATALIWA ..!
NAWASILISHA
Umeacha na hizi hapa:-
- Usipokee namba mpya ovyo ovyo bila tahadhari.
-Usikurupukie dili usilo na taarifa wala uhakika nalo ukaishia "Baby Lotion"...
 
Back
Top Bottom