Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamuaibisha Yesu
Kuna watu wamaana sana humu na tunawajua ila sometimes wanaweka nyuzi zakipuuzi kuwahi kutokea_ (naimani umenielewa)Hivi wewe ndo umeweka na tangazo la kuuza madirisha na milango ya alminium?
Ushapoteza baadhi ya wateja kwa taarifa yako maana mtu akikusoma hapa anajua kabisa huyu sio wa kuambatana nae kwa lolote.
Nakumbuka waume wa watu ndo wateja wakubwa wa bidhaa zako.
Shame on you.
Umesema vyemaYote hayo yanini wakati suluhisho ni kuepuka wake za watu.
Wengi hawajiweka wazi kama wewe.Kuna watu wamaana sana humu na tunawajua ila sometimes wanaweka nyuzi zakipuuzi kuwahi kutokea_ (naimani umenielewa)
Kuna watu wamaana sana humu na tunawajua ila sometimes wanaweka nyuzi zakipuuzi kuwahi kutokea_ (naimani umenielewa)
Ni suala la muda tu,Sasa kuna watu hao ndo watu wao
Ukisoma vizuri code nilizotoa_mitego yakipuuzi kama hii hukamatiki maisha yote MLIPMPATA MTU AMBAE HAKWENDA QUBANi suala la muda tu,
Nikiri tuliwahi kumpa doso jamaa mmoja alitembea na mke wa jamaa yetu. Jamaa yetu alikuwa mara nyingi anaenda Dodoma kikazi. Sasa mshikaji akawa anatoka na mwanamke ( Shemeji) wanaenda baa Kisha kulala lodge.
House girl akaja kutoa Siri jamaa akatuambia tuweke mtego, tukambana ( kibabe) mwanamke amshawishi jamaa wakutane lodge Fulani, jamaa akajaa.
Wameingia tu mwanamke katujulisha chapu walipo tukafika.
Huduma ya kwanza tuliyompa jamaa ni vitasa na mateke mazito Ili kumhabarisha kuwa kafumaniwa.
Akala mikanda ya kutosha na kuamliwa kutoa faini chapu ya shilingi tasilimu milioni mbili.
Akampigia jamaa yake alete pesa ( ya mkopo) akalipa.
Tukamwacha akiwa hoi, nilitumia busara kuwashauri jamaa zangu maana angekufa kwa kipigo kile. Aligeuzwa punching bag.
Unakamatika kirahisi sana, mbinu zipo nyingi maana hata mawasiliano Yako tunayatumia unajaa.Ukisoma vizuri code nilizotoa_mitego yakipuuzi kama hii hukamatiki maisha yote MLIPMPATA MTU AMBAE HAKWENDA QUBA
Hizo mambo za ufalme wa mbinguni achana nazo maana hiyo ni ligi nyingine ..Ufalme wa-mbingu utaishia kuusikia tu 😃
ufalme wambingu utaishia kuusikia tu 😃
Kuna jamaa juzi yamemkuta nusu auliwe kafumwa na mke wa mtu.Shaloom shaloom shaloom
HAPA NINA CODE CHACHE SANA
KAMA HUKWENDAGA QUBA BAS SOMA HII ITAKUSAIDIA
Kutembea na mke wamtu
_tafuta namba mpya tofauti nayakwako (namba mama) mkiwa mnawasiliana
_usimtumie sms maisha yako yote (zingatia sana hii)
_hata kama huna mke ila mwambie naww upo kwenye ndoa au mahusiano imara sana
_usisubutu kwenda kwake hata akuambiaje (usiende usiende usiende )
_mkikubaliana mkutane sehemu fulani akifika tu chukua boda muende sehemu ingine (usimwambie mnakoenda )
_hakikisha mkiwa pamoja simu yake unayo ww au kama anayo yeye asiwe anachat chat (utakuja kukamatwa kama kuku)
_pambana umjue mumewe hata kwapicha (mjue adui yako ili ujue unamkwepa vipi)
_hakikisha kama una mke -huyo mke wamtu asiijue namba yamkeo (kuna siku atampigia mkeo ) hii hata mchepuko wako asijue namba yamkeo kuna siku watapigiana simu ww ukiwa kazini
_usizoee kwenda nae sehemu moja kila siku (utakuja kulia huku unasaga meno)
_hakikisha hamtumii usafiri wa-umma (daladala usipande nae hata kwafimbo) _kuna siku mtapanda na shemeji wa mke au mme wake bila nyie kujua
_mkiwa mnatoka gest hakikisha ww ndo wakwanza kutoka (akianza kutoka yeye anaweza rudi nawatu ndani kuwa makini)
_usipige pige simu kila muda hata kama akikwambia mumuwe hayupo (viumbe hatari sana hawa)
USIMWAMBIE MADHAIFU YAMKEO HATA KAMA MKEO ANAYOKWELI
___KAA UKIJUA UKILA VYAWATU NAWW WAKO ATALIWA ..!
NAWASILISHA
Sitokufundisha kila kitu 🤐Wanaume tumeitwa kwenye kikao cha MALAYA! Epuka umalaya. Unaweza kuzingatia yote hayo na kujifanya mnjanja kumbe guest unayoenda ndiyo mume wake ameenda kuifanyia usafi wa kupaka rangi. Be careful. Ogopa wake za watu. Jifunze kutosheka!