MWANAUME INGIA HAPA

MWANAUME INGIA HAPA

Dah kumbe kuna mambo nilikuwa nakosea😂ahsante kwa kutusanua mwanetu.
 
Hivi wewe ndo umeweka na tangazo la kuuza madirisha na milango ya alminium?

Ushapoteza baadhi ya wateja kwa taarifa yako maana mtu akikusoma hapa anajua kabisa huyu sio wa kuambatana nae kwa lolote.

Nakumbuka waume wa watu ndo wateja wakubwa wa bidhaa zako.

Shame on you.
Kuna watu wamaana sana humu na tunawajua ila sometimes wanaweka nyuzi zakipuuzi kuwahi kutokea_ (naimani umenielewa)
 
Ufalme wa-mbingu utaishia kuusikia tu 😃
Umeacha na hizi hapa:-
- Usipokee namba mpya ovyo ovyo bila tahadhari.
-Usikurupukie dili usilo na taarifa wala uhakika nalo ukaishia "Baby Lotion"...
ufalme wambingu utaishia kuusikia tu 😃
 
Hayo ulioandika ni madhaifu ya wanaume wengi , wewe ukahangaike na mke wa mtu wa nini na ili iweje, achana nao Linda amani yako ya moyo
 
Kuna watu wamaana sana humu na tunawajua ila sometimes wanaweka nyuzi zakipuuzi kuwahi kutokea_ (naimani umenielewa)
downloadfile-5.jpg
 
Sasa kuna watu hao ndo watu wao
Ni suala la muda tu,

Nikiri tuliwahi kumpa doso jamaa mmoja alitembea na mke wa jamaa yetu. Jamaa yetu alikuwa mara nyingi anaenda Dodoma kikazi. Sasa mshikaji akawa anatoka na mwanamke ( Shemeji) wanaenda baa Kisha kulala lodge.

House girl akaja kutoa Siri jamaa akatuambia tuweke mtego, tukambana ( kibabe) mwanamke amshawishi jamaa wakutane lodge Fulani, jamaa akajaa.

Wameingia tu mwanamke katujulisha chapu walipo tukafika.

Huduma ya kwanza tuliyompa jamaa ni vitasa na mateke mazito Ili kumhabarisha kuwa kafumaniwa.

Akala mikanda ya kutosha na kuamliwa kutoa faini chapu ya shilingi tasilimu milioni mbili.

Akampigia jamaa yake alete pesa ( ya mkopo) akalipa.

Tukamwacha akiwa hoi, nilitumia busara kuwashauri jamaa zangu maana angekufa kwa kipigo kile. Aligeuzwa punching bag.
 
Wengi hawajiweka wazi kama wewe.
Mkuu_sijavunja sheria yeyote by the way hapa nisehemu yakujifurahisha na kushauriana sio mbinguni hapa (tukija kwenye kazi we talk about kazi)
 
Ni suala la muda tu,

Nikiri tuliwahi kumpa doso jamaa mmoja alitembea na mke wa jamaa yetu. Jamaa yetu alikuwa mara nyingi anaenda Dodoma kikazi. Sasa mshikaji akawa anatoka na mwanamke ( Shemeji) wanaenda baa Kisha kulala lodge.

House girl akaja kutoa Siri jamaa akatuambia tuweke mtego, tukambana ( kibabe) mwanamke amshawishi jamaa wakutane lodge Fulani, jamaa akajaa.

Wameingia tu mwanamke katujulisha chapu walipo tukafika.

Huduma ya kwanza tuliyompa jamaa ni vitasa na mateke mazito Ili kumhabarisha kuwa kafumaniwa.

Akala mikanda ya kutosha na kuamliwa kutoa faini chapu ya shilingi tasilimu milioni mbili.

Akampigia jamaa yake alete pesa ( ya mkopo) akalipa.

Tukamwacha akiwa hoi, nilitumia busara kuwashauri jamaa zangu maana angekufa kwa kipigo kile. Aligeuzwa punching bag.
Ukisoma vizuri code nilizotoa_mitego yakipuuzi kama hii hukamatiki maisha yote MLIPMPATA MTU AMBAE HAKWENDA QUBA
 
Ukisoma vizuri code nilizotoa_mitego yakipuuzi kama hii hukamatiki maisha yote MLIPMPATA MTU AMBAE HAKWENDA QUBA
Unakamatika kirahisi sana, mbinu zipo nyingi maana hata mawasiliano Yako tunayatumia unajaa.
 
Unakamatika kirahisi sana, mbinu zipo nyingi maana hata mawasiliano Yako tunayatumia unajaa.
Kuna code kazaa sijazitoa (mkuu watu wanatembea nawake zawatu mpaka wanazaa nao na hawakamatwi ) ukikua nitafute
 
Ufalme wa-mbingu utaishia kuusikia tu 😃

ufalme wambingu utaishia kuusikia tu 😃
Hizo mambo za ufalme wa mbinguni achana nazo maana hiyo ni ligi nyingine ..
Halafu huo ufalme ni kwa imani yako ambayo pengine miye wala hainihusu...
 
Wanaume tumeitwa kwenye kikao cha MALAYA! Epuka umalaya. Unaweza kuzingatia yote hayo na kujifanya mnjanja kumbe guest unayoenda ndiyo mume wake ameenda kuifanyia usafi wa kupaka rangi. Be careful. Ogopa wake za watu. Jifunze kutosheka!
 
Shaloom shaloom shaloom

HAPA NINA CODE CHACHE SANA
KAMA HUKWENDAGA QUBA BAS SOMA HII ITAKUSAIDIA

Kutembea na mke wamtu
_tafuta namba mpya tofauti nayakwako (namba mama) mkiwa mnawasiliana
_usimtumie sms maisha yako yote (zingatia sana hii)
_hata kama huna mke ila mwambie naww upo kwenye ndoa au mahusiano imara sana
_usisubutu kwenda kwake hata akuambiaje (usiende usiende usiende )
_mkikubaliana mkutane sehemu fulani akifika tu chukua boda muende sehemu ingine (usimwambie mnakoenda )
_hakikisha mkiwa pamoja simu yake unayo ww au kama anayo yeye asiwe anachat chat (utakuja kukamatwa kama kuku)
_pambana umjue mumewe hata kwapicha (mjue adui yako ili ujue unamkwepa vipi)
_hakikisha kama una mke -huyo mke wamtu asiijue namba yamkeo (kuna siku atampigia mkeo ) hii hata mchepuko wako asijue namba yamkeo kuna siku watapigiana simu ww ukiwa kazini
_usizoee kwenda nae sehemu moja kila siku (utakuja kulia huku unasaga meno)
_hakikisha hamtumii usafiri wa-umma (daladala usipande nae hata kwafimbo) _kuna siku mtapanda na shemeji wa mke au mme wake bila nyie kujua
_mkiwa mnatoka gest hakikisha ww ndo wakwanza kutoka (akianza kutoka yeye anaweza rudi nawatu ndani kuwa makini)
_usipige pige simu kila muda hata kama akikwambia mumuwe hayupo (viumbe hatari sana hawa)


USIMWAMBIE MADHAIFU YAMKEO HATA KAMA MKEO ANAYOKWELI
___KAA UKIJUA UKILA VYAWATU NAWW WAKO ATALIWA ..!
NAWASILISHA
Kuna jamaa juzi yamemkuta nusu auliwe kafumwa na mke wa mtu.

Yaani mke alipanga ishu n mume wake wamnase jamaa Kisha wamlipishe faini.mchongo wao uli til.
HIZO CODE ZENYEWE KABISAAAA,,,,AGIZA BIA NAKUJA KULIPA.
 
Wanaume tumeitwa kwenye kikao cha MALAYA! Epuka umalaya. Unaweza kuzingatia yote hayo na kujifanya mnjanja kumbe guest unayoenda ndiyo mume wake ameenda kuifanyia usafi wa kupaka rangi. Be careful. Ogopa wake za watu. Jifunze kutosheka!
Sitokufundisha kila kitu 🤐
 
Back
Top Bottom