Mwanaume kabla haujaoa, tembelea kwanza Newala. Mwenzenu Tayari nipo Newala toka juzi usiku wa manane

Mwanaume kabla haujaoa, tembelea kwanza Newala. Mwenzenu Tayari nipo Newala toka juzi usiku wa manane

Fall in love? Tell me ur joking please.

Ila all in all wamakonde wazuri
Ni Wazuri mnooo na hawana mambo mengi hapo wana vizuri na maneno ya hovyo kuna mshikaji kitaa ana mke kaoa kabisa. Wavumilivu sana nakumbuka mshikaji siku mbili anasema walikuwa wanakunywa uji tu hela alikuwa hana na huyo binti hakuwa hata na shida
 
Majuzi niliandika Uzi humu nikisema nataka kufanya utalii wa ndani mikoa ya kusini then nikaomba suggestion nianze na Newala au Songea?

Mdau mmoja akasema niende Songea sintojuta.

Mwingine akaniambia kama nawataka wamakonde haina haja ya kwenda Newala bora niende Masasi kwa sababu Masasi kumechangamka zaidi kuliko Newala na kuna wamakonde wa kutosha tu .

Nijuavyo mimi Masasi ni kwa wamakua but nevertheless I will go there too kwa sababu kutoka hapa Newala hadi Masasi ni lisaa limoja tu.


Nilikuja na Mahuta Express nikaingia juzi hiyo mchana.

Jana nikabahatika kukutana na mtoto wa kimakonde.

Sitaki kukwambia kitu gani kilitokea.

Mwaka 90 kuna msukuma mmoja alikuja Dar akanywa soda kwa mara ya kwanza alipomaliza kunywa soda akamwambia shemeji yake ( mume wa dada ake ) " shemeji naomba mbegu ya hizi soda nikapande kijijini shinyanga"

So do I declare that kama wa dada wa kimakonde wangekuwa na mbegu basi ningewapanda Shamba zima shambani kwangu kule Homboza...

Itoshe kusema kwamba wa dada wa kimakonde nyinyi ni hatari.

Mungu awabariki sana.

# halafu wa dada wa kimakonde hawanaga alama za weusi katikati ya mapaja " dark underthighs" wala michirizi kwenye mapaja.
Usisahau pitia namanyere hutajutia

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Ni Wazuri mnooo na hawana mambo mengi hapo wana vizuri na maneno ya hovyo kuna mshikaji kitaa ana mke kaoa kabisa. Wavumilivu sana nakumbuka mshikaji siku mbili anasema walikuwa wanakunywa uji tu hela alikuwa hana na huyo binti hakuwa hata na shida

wanawake wa kimakonde wapo vizuri hilo halina upinzani
 
Back
Top Bottom