Mwanaume kabla haujaoa, tembelea kwanza Newala. Mwenzenu Tayari nipo Newala toka juzi usiku wa manane

Mwanaume kabla haujaoa, tembelea kwanza Newala. Mwenzenu Tayari nipo Newala toka juzi usiku wa manane

Itoshe kusema wamakonde ni noma
LIKUD umempata Zamda nini🤣.
Makonga,Nameleche,Kiduni na ujenzi hapo enzi za Camel oil ya bawazir nimekaa kaa sana pande hizo, umefungwa ngata nini mzee?

Ila wamakuwa na rangi za mabinti hapo masasi pia si haba sema ukanda wa kusini mpaka mangaka huko kwenda mtamba swala wote ni mafundi mzee na ndugu zao wayao,ngoni.

Tanzania ni kubwa na ina makabila mengi na kila kabila na ufundi wake endelea kutembea ujifunze mambo mengi.
 
Majuzi niliandika Uzi humu nikisema nataka kufanya utalii wa ndani mikoa ya kusini then nikaomba suggestion nianze na Newala au Songea?

Mdau mmoja akasema niende Songea sintojuta.

Mwingine akaniambia kama nawataka wamakonde haina haja ya kwenda Newala bora niende Masasi kwa sababu Masasi kumechangamka zaidi kuliko Newala na kuna wamakonde wa kutosha tu .

Nijuavyo mimi Masasi ni kwa wamakua but nevertheless I will go there too kwa sababu kutoka hapa Newala hadi Masasi ni lisaa limoja tu.


Nilikuja na Mahuta Express nikaingia juzi hiyo mchana.

Jana nikabahatika kukutana na mtoto wa kimakonde.

Sitaki kukwambia kitu gani kilitokea.

Mwaka 90 kuna msukuma mmoja alikuja Dar akanywa soda kwa mara ya kwanza alipomaliza kunywa soda akamwambia shemeji yake ( mume wa dada ake ) " shemeji naomba mbegu ya hizi soda nikapande kijijini shinyanga"

So do I declare that kama wa dada wa kimakonde wangekuwa na mbegu basi ningewapanda Shamba zima shambani kwangu kule Homboza...

Itoshe kusema kwamba wa dada wa kimakonde nyinyi ni hatari.

Mungu awabariki sana.

# halafu wa dada wa kimakonde hawanaga alama za weusi katikati ya mapaja " dark underthighs" wala michirizi kwenye mapaja.
LIKUD Ina maana tangu naijua hii id ulikuwa bado upo single au mimi ndio sijakuelewa? Au ulienda kufanya utalii wa ndani ili kujifunza aina ya ladha za makabila. Sasa shemeji utakuwa umemwanga vp?
 
Nenda masasi ukapewe style za Chibaskeli na Chipikipiki
 
Back
Top Bottom