Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
 
Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Utachakazwa mpaka iwe bwawa. Mtu mwenye haki ya kudai pesa ya mwanaume ni mke wa ndoa pekee yake. Wengine umalaya tu
 
Wakati wengine tunatafuta hela Baba yako yuko busy kunyang'anya binti za watu khanga zao huko visimani na mbugani, Ona sasa leo binti yake bila kuhongwa unaona hupendwi🤣.

Sisi ndo washikqji wa Baba yako kama vipi njoo tu tutakutunza, wewe ni binti yetu bwana.
 
Screenshot_20241010_123557_WhatsAppBusiness.jpg
 
Mwanamke aliyezaliwa familia duni ndiye anaamini ili upendwe lazima apewe hela! Wakati baba za wenzenu wanatafuta hela baba zenu walikuwa wanakesha DDC mlimani park?
Ddc ndio umeona pa maana sana ee
Sisi wazee tulikuwa tunakesha msasani drive in
Huko ddc walikuwa wanaenda malugha lugha kama wewe
 
Back
Top Bottom