Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Kichwa kiki kosa akili sehemu za siri lazima zishambuliwe na kichwa cha chini kwa nyukilia kali
 
Pesa me mbona natoa tena sana tu na umaarufu ukitaka, sikupingi ila hiyo ni akili ya watoto wa masikini. Tafuta hela hata unapokua unakamiwa unadinywa kwa heshima ukiendekeza njaa ndo hivo wahuni tunafyonza na kisusia🤣
Aisee
Naona jiwe limegonga panapo,
pole mwanaume, ila toa hela kama umependa
pesa ni makaratasi
 
Lengo lako nisimamishe OMBO kwenye uzi wa wanawake🤣

Kwanini bibi yako nisimpe pesa lakini?
 
Back
Top Bottom