Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

lakini si inakua kama hisani tu right?

yaani kama vile tu unavyoweza kutoa hela ya kununua kitu unachokipenda, right?

gharama ikikushinda au kama huilewi kulingana na aina ya bidhaa unatembea mbele mwendo wa ngiri..🐒
We unaleta ngojera kwenye vitu serious?
Du
 
Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Wadanganye upendeze wengine wapite Bure tushaacha hizo pigo now 50/50
 
Ubaki singo usisumbue wadada wa watu
Hivi unajua kuna upendo na tamaa?
Mwanaume huukinai uchi wa mwanamke ndani ya miezi mitatu tu.
Kinachomfanya Mwanaume kuendelea na huyo Mwanamke ni tabia zake tu. Jifanye unajua sana kuomba omba vitu, hela ndio ukajua kwamba eti unapendwa? Nakupa code hiyooo.
Miezi mitatu tu Uchi wa Mwanamke unakuwa umeshamkinai Mwanaume
 
Wadanganye upendeze wengine wapite Bure tushaacha hizo pigo now 50/50
Kizazi cha 2000 wabishi sana mtabaki milia ivyo ivyo
 
Hivi unajua kuna upendo na tamaa?
Mwanaume huukinai uchi wa mwanamke ndani ya miezi mitatu tu.
Kinachomfanya Mwanaume kuendelea na huyo Mwanamke ni tabia zake tu. Jifanye unajua sana kuomba omba vitu, hela ndio ukajua kwamba eti unapendwa? Nakupa code hiyooo.
Miezi mitatu tu Uchi wa Mwanamke unakuwa umeshamkinai Mwanaume
Watu wanaomba hela na bado wako na wanaume zao, kwanini vitoto vya 2000 mnapenda kukwepa majukumu yenu lkn.
 
Watu wanaomba hela na bado wako na wanaume zao, kwanini vitoto vya 2000 mnapenda kukwepa majukumu yenu lkn.
🤣🤣🤣
Huwa haulewi na haunielewi halafu usinivunjie heshima how come niwe mtoto wa 2000 wakati humu JF nipo tangu mwaka 2010?
 
Watu wanaomba hela na bado wako na wanaume zao, kwanini vitoto vya 2000 mnapenda kukwepa majukumu yenu lkn.
Nikipata Mwanamke sahihi nitampa hela kama nitakuwa nayo, Halafu sijui kama unalenga kuwasaidia vijana au kuwatia stress tu. Kwanza elewa upendo ni kitu cha asili sio ni kitu kinachochochewa na material things, Kama unadhani kupewa pesa na Mpenzi wako ndio kuonyesha anakupenda hapo unajidanganya. Kila kitu huja na kuondoka.
Pesa ipo kwenye mzunguko leo kwa huyu kesho kwa yule na kama akili yako imejengwa na kuaminini kwamba bila kupewa pesa bado haujapendwa 🤣🤣🤣
Hiyo sio sawa kabisa huyo Mwanaume anayekuhudumia kwa pesa siku akiwa hana utasema kwa sababu hajakupa pesa hakupendi???
Change your mind aisee, kama unapewa pesa sio kwamba unapendwa sana.
Tunda la roho ni
Upendo
Amani
Uvumilivu
Utu wema
Fadhiri.
Hapo pesa haipo. Usiwatie watu depression humu kama unahudumiwa kwa pesa na wewe ndio unajiona unapendwa ni sawa tu.
 
We mwenzetu ulizakuwa kwenye utajiri au? Usitukane maskini, wakati Huna uhakika babako ni mlinzi au chokoraa
Kudate na demu maskini&omba omba ni uzwazwa.
Unless awe so exceptional.
Awe na kitu cha ziada cha kuni offer out of uchi.
 
Back
Top Bottom