Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Mwanaume anaekupa hela kila ukihitaji huyo hakupendi anakuchezea. Hakuna mwanaume anaye oa mwanamke aliyekua anampa hela mara kwa mara huko kwenye uchumba maana anajua maisha ni kupanda na kushuka.

Wanaume tunawanyima hela wanawake ili tujue kama wanatupenda au wanapenda hela zetu. kama wewe sii mke wake na mwanaume akakupa hela ni wazi kuwa hakupendi amekununua.

Wanawake njoeni hapa huu ni ukweli
 
Mwanaume anaekupa hela kila ukihitaji huyo hakupendi anakuchezea. Hakuna mwanaume anaye oa mwanamke aliyekua anampa hela mara kwa mara huko kwenye uchumba maana anajua maisha ni kupanda na kushuka.

Wanaume tunawanyima hela wanawake ili tujue kama wanatupenda au wanapenda hela zetu. kama wewe sii mke wake na mwanaume akakupa hela ni wazi kuwa hakupendi amekununua.

Wanawake njoeni hapa huu ni ukweli
Soma hapa we Money Penny
 
IMG-20241027-WA0091.jpg

Money Penny soma hapa na uelewe na ukielewa hautarudia tena kuandika uzi kama huu, kama unahongwa na kupewa hela ni wewe na usiwafanye Wanawake wenzao wakaanzisha vimbwanga kwenye mahusiano yako kwa sababu ya huu uzi wako.
Kama huzijui shida basi shukuru na sema Alhamdulillah kwa maisha uliyonipa.
Aliyekufanya uishi maisha ya kuhongwa na kupewa kila unachokitaka ndio yule yule aliyemnyima yule anayevumilia kwa kula mihogo na maji.
 
Majukumu ya Mwanamke ni yapi ? 🤔
Aisee umenena Mkuu, huyu Money Penny hajui tu jinsi wanaume tunavyo struggle huku mtaani ili kuboresha hadhi zetu. Unapambana na bado unakutana na vikwazo na bado yeye anaona kama hatufanyi yale mambo ni muhimu kwa ajili ya Wanawake 🤣🤣🤣
 
Nawahurumia sana vijana wanaoingia kwenye mahusiano na wanawake masikini wenye damu ya omba omba
Mwenzetu wewe ulizaliwa kwa farao ee?
Hata Yesu alizaliwa umaskinini, hao unaowahurumia ni akina nan labda mpaka tuwashangae
 
🤣🤣🤣
Mwanaume anaekupa hela kila ukihitaji huyo hakupendi anakuchezea. Hakuna mwanaume anaye oa mwanamke aliyekua anampa hela mara kwa mara huko kwenye uchumba maana anajua maisha ni kupanda na kushuka.

Wanaume tunawanyima hela wanawake ili tujue kama wanatupenda au wanapenda hela zetu. kama wewe sii mke wake na mwanaume akakupa hela ni wazi kuwa hakupendi amekununua.

Wanawake njoeni hapa huu ni ukweli
 
View attachment 3137403
Money Penny soma hapa na uelewe na ukielewa hautarudia tena kuandika uzi kama huu, kama unahongwa na kupewa hela ni wewe na usiwafanye Wanawake wenzao wakaanzisha vimbwanga kwenye mahusiano yako kwa sababu ya huu uzi wako.
Kama huzijui shida basi shukuru na sema Alhamdulillah kwa maisha uliyonipa.
Aliyekufanya uishi maisha ya kuhongwa na kupewa kila unachokitaka ndio yule yule aliyemnyima yule anayevumilia kwa kula mihogo na maji.
Huyo muhusika anaeongea anaonekana kwake kuna stress mpaka amezikubali
Simshangai, kamuoe basi
 
Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Nmeamin kwel wanawake ni viumbe dhaifu
 
Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Dume hili
 
Huyo muhusika anaeongea anaonekana kwake kuna stress mpaka amezikubali
Simshangai, kamuoe basi
This is rubbish 🚮🚮🚮😏😏😏😏
Jitahidi kuwa muungwana aisee. Umeandika maneno ya kihuni sana how come nimuoe Mwanaume mwenzangu.
 
This is rubbish 🚮🚮🚮😏😏😏😏
Jitahidi kuwa muungwana aisee. Umeandika maneno ya kihuni sana how come nimuoe Mwanaume mwenzangu.
Duh 😬😬😬😬
Why do you write stupid words like this?
 
Mwenzetu wewe ulizaliwa kwa farao ee?
Hata Yesu alizaliwa umaskinini, hao unaowahurumia ni akina nan labda mpaka tuwashangae
Elewa dhana ya omba omba , btw thread yako ipo ki kahaba kahaba isitumike kama reference kwa wanawake wasio na maadili ya u kahaba
 
Back
Top Bottom