Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #141
We uko na afya ya akiliElewa dhana ya omba omba , btw thread yako ipo ki kahaba kahaba isitumike kama reference kwa wanawake wasio na maadili ya u kahaba
Njoo huku wahuni wanakuita
Ameniita kwake saa 5 usiku, nimeenda na mchungaji, baadae amenuna, nifanyaje?
Wahuniiiiiiiii? Nimewaita Wahuni mje mumsaidie dada wa watu huku Alialikwa na mpenzi wake geto saa 5 usiku akaenda na mchungaji wa kanisani kwao Wakafanya ibada, saa 6 kasoro akaondoka kurudi kwao mchungaji akabaki geto mpaka asubuhi Sasa asubuhi bofriend anapigiwa simu na binti, simu...