Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #181
We unaweza kwenda leba?Et 50 kwa 50 , Wakiwa Kwenye zege Sisi wanawake hatuwezi kuchanganya Zege, Nyoooh Wanawake Bhana
Waelewe wanawake basi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unaweza kwenda leba?Et 50 kwa 50 , Wakiwa Kwenye zege Sisi wanawake hatuwezi kuchanganya Zege, Nyoooh Wanawake Bhana
Uzi ganHuu uzi wako ni wa kizembe na kitoto sana aisee hujui umemwandikia nani na kuna wangapi wanaousoma halafu bado unaendelea kupata nguvu ya kujibishana huoni kama unazidi kujiaibisha ?
Tafuta uoe ukae na mkeoNakutafutia dola 10,000
Ninakuelewa ile mbaya yaani 🤩🤩🤩Tafuta uoe ukae na mkeo
Me mke wa mtu wa nini?
Wenye afya ya akili zao sasa wamewqsiliLogical non sequitur fallacy.
Wacheni kuendekeza umasikini na umalaya.
UweeeNinakuelewa ile mbaya yaani 🤩🤩🤩
PoleTupo na Mishangazi inayokopesheka siyo wale wa alfu mbili Gen alpha! Pesa before and after use!!
Tupo na Mishangazi inayokopesheka siyo wale wa alfu mbili Gen alpha! Pesa before and after use!!
Afya ya akili ukiiona utaijua?Wenye afya ya akili zao sasa wamewqsili
Ndio hivyo ujue sasaUw
Uweee
Nonsense mindSikuhizi wanaume mnalia hivi
Nakupa mapenzi
Nakupa vichenji
Nini haupati,
Vikoba nimekulipia
Nasemaje Nasemaje!
1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi
2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana
3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine
Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie
Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi
Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!
Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Na anaweza akakupenda na asikupe tundaNa kama mwanamke hakupendi naye hakupi "TUNDI"?
Nonsense mind
Na kama mwanamke hakupendi naye hakupi "TUNDI"?
WivuuuuNdio hivyo ujue sasa
Hahaaa kama mimi natoa mzigo ,nampa pesa inabidi na yeye in return anipe "niteleze'.Na anaweza akakupenda na asikupe tunda
Kila mwanamke na msimamo wake
Ndio hio unayoAfya ya akili ukiiona utaijua?
Au utawaza unaichuna vipi tu?
Nishatia neno huko.Kilio cha mwanaume kwenye mapenzi kwa sasa ni hiki
Sikuhizi wanaume mnalia hivi Nakupa mapenzi Nakupa vichenji Nini haupati, Vikoba nimekulipia Dah, ila wanaume mnajua kulia? Mpaka mnaenda studio mnaimba kabisa Akina mama wapunguzieni adhabu wanaume wa watu jamaan, mtawamaliza mjuewww.jamiiforums.com
Akiwa anapewa pesa kwengine je? Awe anatoa na mzigo kwengine au?Hahaaa kama mimi natoa mzigo ,nampa pesa inabidi na yeye in return anipe "niteleze'.