Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #201
Sijakuona tajiriNishatia nene huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakuona tajiriNishatia nene huko.
Wewe jifunze kuandika Kiswahili kwanza kabla ya kuparamia wanaume hapa.Ndio hio unayo
Angalia vizuri nometia neno.Sijakuona tajiri
Wachaaa weeee 🤩🤩🤩Wivuuuu
Wivu mama wivuu
Sio nimeparamia nimekweleza ukweliWewe jifunze kuandika Kiswahili kwanza kabla ya kuparamia wanaume hapa.
Me kuona tajiriAngalia vizuri nometia neno.
1. Mwanamke kama hakupi penzi huyo hakupendi
2. Kama mwanaume unastrugle sana kupata penzi, huyo mwanamke hakupendi
3. Kama alikuwa anakupa penzi na sasa hakupi, basi mapenzi yameshuka, hakupendi tena
Akiwa anapewa pesa kwengine je? Awe anatoa na mzigo kwengine au?
Sawa Boss Lady.Me kuona tajiri
Ndio nakwambia kumpa pesa inawezq isitoshe kupendwaKwanini aombe pesa kwingine wakati nampa? Kama anaona nazompa hazimtoshi aende moja kwa moja kwa huyo anayempa mimi niende kumpa mwingine na niteleze huko huko.
Nyie ndio mnaanza mahusiano si wengine tushazeeka tunalea wajukuuOmba omba mwengine ameingia kwenye mahusiano
ArrogantKilio cha mwanaume kwenye mapenzi kwa sasa ni hiki
Sikuhizi wanaume mnalia hivi Nakupa mapenzi Nakupa vichenji Nini haupati, Vikoba nimekulipia Dah, ila wanaume mnajua kulia? Mpaka mnaenda studio mnaimba kabisa Akina mama wapunguzieni adhabu wanaume wa watu jamaan, mtawamaliza mjuewww.jamiiforums.com
Bila Kutia adabu Huwezi Kwenda LebaWe unaweza kwenda leba?
Waelewe wanawake basi
Wewe unaweka logical fallacies hapa, ukweli hata ukikupumulia usoni hutaujua.Sio nimeparamia nimekweleza ukweli
Kubali dozi iingie
Just like youArrogant
Basi na zege wenzio hawawezi bebaBila Kutia adabu Huwezi Kwenda Leba
Wewe unaweka logical fallacies hapa, ukweli hata ukikupumulia usoni hutaujua.
Sitaki shobo za wanawake wanaojiuza.Kilio cha mwanaume kwenye mapenzi kwa sasa ni hiki
Hongera kwa hatua ya 1 ya mapenzi Dunia ya sasa mapenzi unatakiwa utumie akili zaidi kuliko hisia 🤔www.jamiiforums.com