Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Ombaomba katika 1&2
Fanyeni kazi nyie, mapenzi siyo biashara.
 
Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Samaki ukishamvua chambo ya nini? Kama unadhani kipimo cha kupendwa ni kupewa fedha, basi jua tayari umekua bidhaa kama vile nyanya, vitunguu, cement n.k
 
Samaki ukishamvua chambo ya nini? Kama unadhani kipimo cha kupendwa ni kupewa fedha, basi jua tayari umekua bidhaa kama vile nyanya, vitunguu, cement n.k
Umenena Mkuu halafu A Woman who doesn't ask for anything She deserves everything. Mleta uzi anaonekana ni Materialistic, ina maana nikiwa na 10 M nikimpa ataona nampenda akija mwenye 100M ndio ataonekana anampenda.
This is rubbish kabisa 😏
 
Omba omba pro max. Una ramboo me nna mua ujinga ujinga tu me utaniua - Yamoto Band

Hapo mtera dam ni guarantee, kujichoreshaaa

🤢🤮🤮🤮
 
Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio

Then wakadate ATM Machine haha
 
Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio


Huyo amekuweka kitambaa usoni usione anayofanya

Ameshajua unanjaa ya vitu kama hivyo
 
Nasemaje Nasemaje!

1. Mwanaume kama hakupi hela huyo hakupendi

2. Mwanaume kama alikuwa anakuoaga hela sahivi hakupi tena basi mapenzi kwako yalishaisha muda sana

3. Mwanaume kama unastruggle sana kumwomba hela ndio anatoa, huyo mapenzi kwako yalishaisha muda sana we hamisha mapenzi yako kwa bro mwingine

Me nakumbuka wakati nachumbiwa miaka 48 iliopita, dah Mume alikuwa anatoa mpaka senti ya mwisho ilimradi ua lake nivutie, nipendeze, nisilie

Mwaka wa 48 sasa na bado ananitunza, ananipa hela, ananisafirisha, ananinunulia zazawadi kila mwezi

Asikiae na afahamu, hata Biblia imeandika popote ilipo Hazina ya mtu na Moyo wake uko hapo, elewa dya dyaaaaaa!

Wadada mmelilia sana girl code, ndio hio
Wanaume hawa hawa wanao hangaika na vyeti mitaani bila ajira ndio unategemea wakuhonge?
Wewe fanya kazi acha kukariri mambo yaliyopitwa na wakati...
Ulicho andika ni hadithi za abunuwasi za miaka ya 80s ambapo ajira zilikuwa nje nje?
 
Nikipata Mwanamke sahihi nitampa hela kama nitakuwa nayo, Halafu sijui kama unalenga kuwasaidia vijana au kuwatia stress tu. Kwanza elewa upendo ni kitu cha asili sio ni kitu kinachochochewa na material things, Kama unadhani kupewa pesa na Mpenzi wako ndio kuonyesha anakupenda hapo unajidanganya. Kila kitu huja na kuondoka.
Pesa ipo kwenye mzunguko leo kwa huyu kesho kwa yule na kama akili yako imejengwa na kuaminini kwamba bila kupewa pesa bado haujapendwa 🤣🤣🤣
Hiyo sio sawa kabisa huyo Mwanaume anayekuhudumia kwa pesa siku akiwa hana utasema kwa sababu hajakupa pesa hakupendi???
Change your mind aisee, kama unapewa pesa sio kwamba unapendwa sana.
Tunda la roho ni
Upendo
Amani
Uvumilivu
Utu wema
Fadhiri.
Hapo pesa haipo. Usiwatie watu depression humu kama unahudumiwa kwa pesa na wewe ndio unajiona unapendwa ni sawa tu.
Nawasaidia maana wanaona wanaonewa sana
Wakati majukumu ya mwanamke yako pale pale
Ndio maana unaambiwa mtoto akililia wembe mpe, hamsikii alafu mnajifanya wajuaji
Yani hata Mungu muumba ameweka mwanaume amhudumie mwanamke asilimia 100
 
Nawasaidia maana wanaona wanaonewa sana
Wakati majukumu ya mwanamke yako pale pale
Ndio maana unaambiwa mtoto akililia wembe mpe, hamsikii alafu mnajifanya wajuaji
Yani hata Mungu muumba ameweka mwanaume amhudumie mwanamke asilimia 100
Majukumu ya Mwanamke ni yapi ? 🤔
 
Wanaume hawa hawa wanao hangaika na vyeti mitaani bila ajira ndio unategemea wakuhonge?
Wewe fanya kazi acha kukariri mambo yaliyopitwa na wakati...
Ulicho andika ni hadithi za abunuwasi za miaka ya 80s ambapo ajira zilikuwa nje nje?
Aisee umenena Mkuu, huyu Money Penny hajui tu jinsi wanaume tunavyo struggle huku mtaani ili kuboresha hadhi zetu. Unapambana na bado unakutana na vikwazo na bado yeye anaona kama hatufanyi yale mambo ni muhimu kwa ajili ya Wanawake 🤣🤣🤣
 
Nawahurumia sana vijana wanaoingia kwenye mahusiano na wanawake masikini wenye damu ya omba omba
 
Back
Top Bottom