Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Mwanaume kama hakupi hela, huyo hakupendi - Girl Code no 1 imeshuka

Kichwa kiki kosa akili sehemu za siri lazima zishambuliwe na kichwa cha chini kwa nyukilia kali
 
Ni hasara kubwa sana! Kuzaa mtoto anaewaza kwamba mtoto was mama mwingine atakua anamhudumia Kila kitu halafu yeye atakua anampa uchi tu!!

Yaani ampe uchi kiitwacho mapenzi halafu ye apewe hela,hiyo ni biashara ya ukahaba iliokomaa kwenye jamii!!!

Jitahidi usiwe hasara Bali faida!!
 
kwa vile ishagundulika kuwa na nyie utamu mnaupata tena mara mbili zaidi yetu, Hivyo kwa kizazi hiki maboya wamepungua.
kwa vile ishagundulika kuwa na nyie utamu mnaupata tena mara mbili zaidi yetu, Hivyo kwa kizazi hiki maboya wamepungua.
Fanyeni kazi,acheni vitonga.
Mwanamke aliyezaliwa familia duni ndiye anaamini ili upendwe lazima apewe hela! Wakati baba za wenzenu wanatafuta hela baba zenu walikuwa wanakesha DDC mlimani park?
Wakati wengine tunatafuta hela Baba yako yuko busy kunyang'anya binti za watu khanga zao huko visimani na mbugani, Ona sasa leo binti yake bila kuhongwa unaona hupendwi🤣.

Sisi ndo washikqji wa Baba yako kama vipi njoo tu tutakutunza, wewe ni binti yetu bwana.
 
Mtu mzima hovyoo
Utachakazwa mpaka iwe bwawa. Mtu mwenye haki ya kudai pesa ya mwanaume ni mke wa ndoa pekee yake. Wengine umalaya tu
 
Fanyeni kazi mtafute pesa za kwenu acheni kutia huruma utadhani mliumbwa vilema
Endeleeni kujidanganya
Sasa hivi tunawabonda kuondoa Nye Nye Nye nyeeeeeeee tu.
Mbona kama typing ya kidume🤔
yaan adi nitoe hela ndo nipate mbususu,kwani iyo inauzwa?
Huyu hajaolewa, Hawa ndo Madem wanaobondwa daily😀
Nimeipenda hii
Toa penzi uone kama pesa haitoki
Only fool can give you money
 
Kichwa kiki kosa akili sehemu za siri lazima zishambuliwe na kichwa cha chini kwa nyukilia kali
Lengo lako nisimamishe OMBO kwenye uzi wa wanawake🤣

Kwanini bibi yako nisimpe pesa lakini?
 
Ni hasara kubwa sana! Kuzaa mtoto anaewaza kwamba mtoto was mama mwingine atakua anamhudumia Kila kitu halafu yeye atakua anampa uchi tu!!

Yaani ampe uchi kiitwacho mapenzi halafu ye apewe hela,hiyo ni biashara ya ukahaba iliokomaa kwenye jamii!!!

Jitahidi usiwe hasara Bali faida!!
Hasara kubwa sana kuzaa mwanaume ambae hana mchango kwenye maisha ya mwanamke yeyote ukianza na mama yake mzazi
 
Hasara kubwa sana kuzaa mwanaume ambae hana mchango kwenye maisha ya mwanamke yeyote ukianza na mama yake mzazi
Mama mzazi alishajenga maisha na baba akilima na kupalilia bustani za mizabibu kama mwanamke was mithali 31,je nyie mnaokaa na kutegemea kupewa pesa na mme badala ya kuwa kama mwanamke wa mithali tuwaweke kwenye kundi gani !!?zaidi ya wafanyabiashara ndani ya ndoa!!?

Hilo ni janga kama majanga mengine!
 
Namshukuru Mungu sana kwa huyu mwanamke.Vinginevyo sasa hivi ningekuwa natombanisha mijusi tu.
 
Hapana
Nazungumza kama nilivyoandika
Ukimpenda mwanamke wako utampa hela
lakini si inakua kama hisani tu right?

yaani kama vile tu unavyoweza kutoa hela ya kununua kitu unachokipenda, right?

gharama ikikushinda au kama huilewi kulingana na aina ya bidhaa unatembea mbele mwendo wa ngiri..🐒
 
Siku hizi pia, kudate na demu maskini&omba omba ni uzwazwa...so mjipange sawa sawa.
Unless uwe soo exceptional.
We mwenzetu ulizakuwa kwenye utajiri au? Usitukane maskini, wakati Huna uhakika babako ni mlinzi au chokoraa
 
Mama mzazi alishajenga maisha na baba akilima na kupalilia bustani za mizabibu kama mwanamke was mithali 31,je nyie mnaokaa na kutegemea kupewa pesa na mme badala ya kuwa kama mwanamke wa mithali tuwaweke kwenye kundi gani !!?zaidi ya wafanyabiashara ndani ya ndoa!!?

Hilo ni janga kama majanga mengine!
 
Back
Top Bottom