Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #21
We pdiddy tulia tu na baby oil usubiri kumtoa Michael jacksonWakati wengine tunatafuta hela Baba yako yuko busy kunyang'anya binti za watu khanga zao huko visimani na mbugani, Ona sasa leo binti yake bila kuhongwa unaona hupendwi🤣.
Sisi ndo washikqji wa Baba yako kama vipi njoo tu tutakutunza, wewe ni binti yetu bwana.
Huku Africa kama hutoi hela kwa mkeo au mchumba wako humpendi
Pole kwa kukasirika ila code imewekwa mahali pake
Leo wanaume mmekuja kwa wingi kwenye uzi wa akina dada