Mwanaume kama hujawahi kutamkiwa haya katikati/baada ya show jua kiwango chako bado

Aisee. Hatari.
 
kuna mjinga moja mlevi kila siku anakula kitimoto 1kg anakatiakatia na ndiza za kukaanga alafu anabondea mayai mawili ya kisasa tumbo ziko mbele nyumba anayoishi kapaua na mirunda..walevi hawana vipaumbele wallah
Mshauri apunguze kidogo kula kitimoto.Anauwezo mkubwa wa kujenga huyu mlevi. Tofali moja ni TZS 1000 tu.Akinunua tofali 10 kila siku kwa mwezi anatofari 300
 
Hiki kizazi mitume na Manabii wenyewe wale Og wasingekiweza.
 
kuna mjinga moja mlevi kila siku anakula kitimoto 1kg anakatiakatia na ndizi za kukaanga alafu anabondea mayai mawili ya kisasa tumbo ziko mbele nyumba anayoishi kapaua na mirunda..walevi hawana vipaumbele wallah
Hilo ni levi jinga mkuuπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
kuna mjinga moja mlevi kila siku anakula kitimoto 1kg anakatiakatia na ndizi za kukaanga alafu anabondea mayai mawili ya kisasa tumbo ziko mbele nyumba anayoishi kapaua na mirunda..walevi hawana vipaumbele wallah
Kamwe Hakuna Aliyewahi Filisika Kwa Kula Wewe Kipaumbele Chako Kujenga Yeye Kula Si Lazima Na Kamwe Hatuwezi Fanana Vipaumbele,,,Alafu Hakuna Mlevi Wa Kula 1kg Ya Nyama,,,Ndizi Na Mayai,,Huyo Jamaa Ni Mnywaji Wa Kilevi Lakini Si Mlevi Wa Kilevi
 
Tafuta hela kijana hakuna kitu zaidi ya hela
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…