Mwanaume kama hujawahi kutamkiwa haya katikati/baada ya show jua kiwango chako bado

Kodi ya chumba ikiwa inaisha kesho au mwanae asiye na baba anaeeleweka ada yake ikikaribia kulipwa anaweza akakuahidi hata kufa badala yako.

Usimkilize mwanamke.....una akili kweli wewe???
 
Kumbe na hii ya kufanya kama unamkaba shingoni wanaipenda mtaalamu?
Kiasili mwanamke akiwa kwenye eneo lile anataka kumilikiwa kila eneo wewe tumia nguvu kama ni dog style mshike kiuno Kwa kukaza kama ni kifo cha mende nyanyua mguu mmoja weka kwenye bega lako kisha mshike mikono yote kandamiza,siyo Kwa kumuumiza Bali Kwa kuonesha unammiliki Kwa muda huo.

Hii si Kwa Malaya anayejiuza ,utajisumbua tu we jiridhishe uondoke ufundi hauhitajiki hapa
 
Mademu wapo tofauti ,kuna wengine hawapendi kupakazana mimate.



Hao viumbe ni Chuo za Sanaa Bagamoyo ,ni good actress...hao muda wote wapo kwenye scene.
Una point mkuu, ila still mwanamke ukimkuna hajifichi hizo za kuigiza nazijua pia.
 
Bila hela kweli ataimba hizo nyimbo bure,?
Bila hela mwanamke anakuona tΓ kataka tuu.
 
Kwambq Dr nani anasugua kinanii chake na demu mwenzie anakojoa?

Sema huwa namkubali sana huyo Dr.
Ipo siku nitamla tu.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mkuu ukifanikisha shusha uzi tafadhali watu wajifunze mbinu z kivita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…