Mwanaume kama hujawahi kutamkiwa haya katikati/baada ya show jua kiwango chako bado

Hakuna haja ya kutafuta sifa, ushapunguza minyege yako kafanye mambo mengine.
 
Unasoma kidato cha ngapi?
Sisi watu wazima tunajua kwamba mwanamke yeyote mjanja anaweza kuongea hayo maneno ili kukuteka na kukupumbaza ujione umemridhisha kumbe hata wakati unajikunja alikuwa anakuangalia anacheka kisirisiri kwamba hapo hamna kitu!
Muwe mnahudhuria vikao vya wanaume
 
Maneno hayo siyo mageni midomoni mwa madada poa wanaojiuza buku tatu tatu, inaonekana ni mdau mzuri wa madada poa
 
Ole wako mahari ianzie milion 5 nakimbia baruti, icheze 3 mpaka 4.5 apo tafadhali eti my
Mahari million 3 halafu hana bikra duuuh hatariiii Sana
Aliye mtoa bikra lazima aendelee kupewa k
Kama hana bikra huyo ni mke wa mtu
 
Yote ni ubatili kama ana Marejesho πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…