Mwanaume kama huna hela huwezi dumu na mwanamke

Mwanaume kama huna hela huwezi dumu na mwanamke

Wao thibitisha
Mmmh
FB_IMG_15494296476167893.jpg
 
wanawake wa bongo wavivuu tu. ndo mana hata wanaume wa bongo wenye maendeleo wanakimbilia wanawake wa nje ya nchi jirani. mf Ay,diamon,benpaul nk kwa mujibu wa hela kwako hawa wanaweza kukutunza ila wameona nyie ni wavivu vichwa maji hamuwazi maendeleo mnawaza kuvua chupi tuu ndo mle basi mtasubiribsana. angalia wa tz wengi wenye classic life ukichungulia uhaliasia wa wake zao lazma umechanganya na nje. wanawake wa bongo ni mbuzi wenye kamba fupi
 
Kuna wakati mnatakiwa muache ujinga... UTAULIZIAJE VIWANDA KWENYE FORUM YA MAPENZI? Nenda forum ya sayansi na teknolojia au kwingine kunakofanana na hayo unayoyasema...

By the way, unafahamu kwa nini kuna majukwaa mengi yanayojadili mambo mbalimbali?
Mkuu kavute tena
 
Yaani sio nawadharau ila niukweli.
Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao .
Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu.
Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa maisha haya magumu atasema wewe .
Akifikiria matunzo na starehe basi anaambia asikuone tena .
Kila siku utaanza upya kutafuta demu na hawadumu kisa wewe ni mgegedo tu huna cha ziada.
POLENII ILA HELA LAZIMA UWE NAYO ILI UPATE CHA KUMTUNZIA KITU KIZURI CHA HITAJI MATUNZO
PENDA MSIPENDE
Wanawake ni wengi sanaa, wanaume tuko wachache sana hasa sisi marijali. Maana na wengine wamekuwa mashoga. Kwahiyo wanawake kuweni makini sisi ni dhahabu ukipendwa na mwanaume rijali kaa tulia mtafute pesa
 
wanawake wa bongo wavivuu tu. ndo mana hata wanaume wa bongo wenye maendeleo wanakimbilia wanawake wa nje ya nchi jirani. mf Ay,diamon,benpaul nk kwa mujibu wa hela kwako hawa wanaweza kukutunza ila wameona nyie ni wavivu vichwa maji hamuwazi maendeleo mnawaza kuvua chupi tuu ndo mle basi mtasubiribsana. angalia wa tz wengi wenye classic life ukichungulia uhaliasia wa wake zao lazma umechanganya na nje. wanawake wa bongo ni mbuzi wenye kamba fupi
Je nyie wanaume wakibongo wavivu wanakimbia wa dada wa bongo kisa wanaenda kutunzwa huko nje hao ulio wataja wote ni mamarioo on harmonize na sara diamond na mademu zake tokea wema anatunzwa tu.
Kasoro hamisa naumemuona kakimbia.
Hata nyie mkichunwa mnasema hawa ni malaya kumbe mnataka kutunzwa hadi mmekuwa mashoga
 
Back
Top Bottom