Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Ndio uanaume huo.ha ha ha ha unyonyaji huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio uanaume huo.ha ha ha ha unyonyaji huo
ha ha ha ha na uanamke ndio upi?Ndio uanaume huo.
ha ha ha mi bado kijana mbichi kabisaDud yako ni zee huwezi kunimudu
Mimi ninayo ya urithi[emoji23][emoji23] niletee basiMwanaume awe na nyumba tu hela nitaleta
Kwa iyo mama'ko naye mbuzi siyo?wanawake wa bongo wavivuu tu. ndo mana hata wanaume wa bongo wenye maendeleo wanakimbilia wanawake wa nje ya nchi jirani. mf Ay,diamon,benpaul nk kwa mujibu wa hela kwako hawa wanaweza kukutunza ila wameona nyie ni wavivu vichwa maji hamuwazi maendeleo mnawaza kuvua chupi tuu ndo mle basi mtasubiribsana. angalia wa tz wengi wenye classic life ukichungulia uhaliasia wa wake zao lazma umechanganya na nje. wanawake wa bongo ni mbuzi wenye kamba fupi
Tatizo ulipandisha presha kwenye zile staili siku ileha ha ha mi bado kijana mbichi kabisa
Kutumia pesa zenu.ha ha ha ha na uanamke ndio upi?
Mwambie basiKwa iyo mama'ko naye mbuzi siyo?
ha ha ha ha ha ata mama yangu na dada zangu wanaweza tumia,nataka nijue we kwako nitanufaika na nini..Kutumia pesa zenu.
ha ha ha ha unaweza mfungulia mtu kesi weweTatizo ulipandisha presha kwenye zile staili siku ile
Wewe byeMimi ninayo ya urithi[emoji23][emoji23] niletee basi
Utanufaika na kilichokupelekea unifuate mimi na sio mwingine.ha ha ha ha ha ata mama yangu na dada zangu wanaweza tumia,nataka nijue we kwako nitanufaika na nini..
Bye??? Unaenda wap??Wewe bye
Eh ila sikweli??ha ha ha ha unaweza mfungulia mtu kesi wewe
Kwako unanyumba siwezi kumuachia mtuBye??? Unaenda wap??
[emoji4][emoji4][emoji4] nina nyumba ila sina hela[emoji23]Kwako unanyumba siwezi kumuachia mtu
Basi tumchune mtu halafu tuzile[emoji4][emoji4][emoji4] nina nyumba ila sina hela[emoji23]
Hivi kuwa na hela ni kuwa na sh ngap?Yaani sio nawadharau ila niukweli.
Mtakuwa mnasaidia wenzenu mademu zao wanawake zao .
Namtabaki tu na stress na kufikia kunywa sumu.
Why mwanamke wanawake watakuwa wanakutema wanakufuata tu pale nilazima apewe tu kitu fulani ila mumewe akimuuliza kati yangu na huyo lofa unamtaka nani kwa maisha haya magumu atasema wewe .
Akifikiria matunzo na starehe basi anaambia asikuone tena .
Kila siku utaanza upya kutafuta demu na hawadumu kisa wewe ni mgegedo tu huna cha ziada.
POLENII ILA HELA LAZIMA UWE NAYO ILI UPATE CHA KUMTUNZIA KITU KIZURI CHA HITAJI MATUNZO
PENDA MSIPENDE