Mwanaume kama huna hela huwezi dumu na mwanamke

wanawake wa bongo wavivuu tu. ndo mana hata wanaume wa bongo wenye maendeleo wanakimbilia wanawake wa nje ya nchi jirani. mf Ay,diamon,benpaul nk kwa mujibu wa hela kwako hawa wanaweza kukutunza ila wameona nyie ni wavivu vichwa maji hamuwazi maendeleo mnawaza kuvua chupi tuu ndo mle basi mtasubiribsana. angalia wa tz wengi wenye classic life ukichungulia uhaliasia wa wake zao lazma umechanganya na nje. wanawake wa bongo ni mbuzi wenye kamba fupi
 
Mkuu kavute tena
 
Wanawake ni wengi sanaa, wanaume tuko wachache sana hasa sisi marijali. Maana na wengine wamekuwa mashoga. Kwahiyo wanawake kuweni makini sisi ni dhahabu ukipendwa na mwanaume rijali kaa tulia mtafute pesa
 
Je nyie wanaume wakibongo wavivu wanakimbia wa dada wa bongo kisa wanaenda kutunzwa huko nje hao ulio wataja wote ni mamarioo on harmonize na sara diamond na mademu zake tokea wema anatunzwa tu.
Kasoro hamisa naumemuona kakimbia.
Hata nyie mkichunwa mnasema hawa ni malaya kumbe mnataka kutunzwa hadi mmekuwa mashoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…