makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
😂 😂 Hapo ni kuchuna ngozi, kumtawanya, ndimu nyingii, chumvini kiasi, mzigo unaliwa kimasihara, MBUZI KAGOMA halafu kafia kwa muuza supu lazima atafunwe kwa staili hiyo. 😂🤣🤣🤣 yaani ni mbuzi kafia kwa muuza supu