makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
π π Hapo ni kuchuna ngozi, kumtawanya, ndimu nyingii, chumvini kiasi, mzigo unaliwa kimasihara, MBUZI KAGOMA halafu kafia kwa muuza supu lazima atafunwe kwa staili hiyo. ππ€£π€£π€£ yaani ni mbuzi kafia kwa muuza supu
24 humtaki...???Kwani lazima kupanda haraka..!
Mi ningepumzika ngazi namba 16 kwanza
Kwa madaha..[emoji23]
Watu walifaidi katika jina la uongoziπ πEnzi zile za "Utemi", ikimpendeza, anaweza kuamuru aoe wote hao kwa mpigo!
Na wasaidizi wa kiume wote wa Ikulu anawafanya "matowashi" wa kuwahudumia wakeze hao ili atambe vizuri yeye tu peke yake.
Ref: Sultan Seyyid Sayyid wa Zanzibar, au
Mfalme Suleiman wa kwenye biblia!
Kwa huo umati moja nimejipunja sana[emoji28][emoji28][emoji28] Huku inazoom moja yakupiga nayo ulonzi
Afazali. . .[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119] natengua kauli
View attachment 2376018WAUMINI NAONA KUNA MBWA MWITU KAJICHANGANYA KATIKATI YA KUNDI LA KONDOO
Kwani hua mnapandaje