Mwanaume kamili wa kuongezeana furaha na siku za kuishi duniani anatafutwa


wala sina genye
 
Hi, Ladydii !! You "sound" intelligent !! And you know what you want. But I dont think you will get it in JF.

JF Imesheheni vijana waliojaa kejeli. Wewe mwombe Mungu tu, siku moja utampata wa kwako.

Lakini:- a) Hujaweka maximum age ya mume unayemtake
b) Kama ukimpata aliye serious, unadhani watoto wako wataweza kum-accept? Maana hapo ndipo penye shida
 
Sababu ya talaka ilikuwa ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…