- Thread starter
- #161
mbona 40 kidogo yaani wanaume mpaka 55 years wapo na ujinga mwingi
kuna wanaume wengi tu wana 40 years na wana ujinga mwingi sana
Asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona 40 kidogo yaani wanaume mpaka 55 years wapo na ujinga mwingi
kuna wanaume wengi tu wana 40 years na wana ujinga mwingi sana
Watoto watatu
Hili swala serikali inabidi iingilie kati aisee
Miaka 66Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner
Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi
Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka
Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Me nina miaka 39+ naomba unifikirieeKama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner
Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi
Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka
Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Mmi mkristu. Ninahitaji mwenza nina umrj miaka zaidi ya 60. Dini hairuhusu kuoa mtaliki au mtalikiwa. NI kuzini.Hii ikoje utafute mkristo?Kama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner
Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi
Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka
Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Umepata huyo mtu? Au bado mpaka sasamtu asimwache mwenza wake ila kwa zinaa
Umepata huyo mtu? Au bado mpaka sasa
Umepata huyo mtu? Au bado mpaka sasa
Bado hujafanikiwa mkuu?
Nitakuja kuuleta muda ukifika
Sijaelewa bado mkuu[emoji614]
Sijaelewa bado mkuu
Umeshapata ila unasubiri hatua za mwisho au sio?Nitakuja leta mchakato ukikamilika
haya mambo hayataki baraka, niombee
Umeshapata ila unasubiri hatua za mwisho au sio?
Safi sana
Usahihi unaanza kwa wewe mwenyewe.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]niombee mwenzio...
Wanaume na wanawake wako tele wengi tuu. Kikubwa Mungu atupatie aliye sahihi
Usahihi unaanza kwa wewe mwenyewe.
Alafu kwenye maisha kuna kuvumiliana hakuna aliye sahihi. Unaweza ukakuta kitendo cha kuweka vigezo, basi unaonekana hauko sahihi.
Hivyo nakushauri, kama unahitaji mtu, hakikisha unapata yule utakayekuwa comfortable kuwa naye. Hayo mengine ni mwembwe tu
Kuchukulia mapungufu ya mwenzio ndio kuvumilia kwenyewe huko.Kwenye mahusiano huwa hatutakiwi kuvumiliana tunatakiwa kuchukuliana mapangufu kila mmoja aliyo nayo.
Ukipata mtu sahihi hutomvumilia maana utafanya kukamilisha pale anapopungukiwa na yeye atafanya hivyo kwa pale unapopungukiwa wewe bila kuhisi maumivu ya kuvumiliana
Sasa hicho wewe unachokiita mbwembwe ni nini
njoo pmKama kichwa cha habari kisemavyo anatafutwa life partner
Awe mwanaume matured na mtu mzima ki umri kama miaka 40 na kuendelea
Awe stable financially, nikiwa namaanisha awe na uwezo wa kuamua, kupanga na kueteleza mipango ya maisha
Awe mkristo kiimani
Awe either single, mgane au mtalaka... sihitaji mwanaume mwenye mke wake
Haijalishi kiwango chake cha elimu ni lipi ila awe mwanaume tunayeweza kushare mapenzi na kazi
Mimi nina watoto watatu, elimu yangu shahada mbili, umri 43, mjasiriamali na mtalaka
Sihitaji matusi wa kejeli. Kama una vigezo karibu inbox ya mjumbe
Mbwembwe ni hayo mengine mnayoongezea kama sifa za muomba kazi kwenye makampuni.
Kuhusu mtu sahihi bado najiuliza mtu sahihi ni yupi? Ni yule mwenye kukidhi mahitaji yako yote au ni yule unayekidhi mahitaji yake yote???????
Bado naendelea kujiuliza