Mwanaume kua na wanawake wengi ni mtego wa shetani kuhakikisha unakua masikini maisha yako yote

Mwanaume kua na wanawake wengi ni mtego wa shetani kuhakikisha unakua masikini maisha yako yote

Magical power

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2022
Posts
2,158
Reaction score
5,626
Mwanaume kua na wanawake wengi ni mtego wa shetani kuhakikisha unakua masikini maisha yako yote
1732169845878.jpg
maana ngono Ina gharama kubwa sana Kwa mwaname ila ni faida Kwa mwanamke chagua mwanamke wako mmoja anae tosheleza hisia zako najua sio lahisi kulizika na mwanamke mmoja ila unaweza kuamua kutulia na mwanamke mmoja kwaajili ya afya yako heshima yako pamoja na usalama wa uchumi wako itambue thamani yako kama mwanaume sio Kila mtu ana stahili kuuona utupu wako.
 
Mzee mmoja aliniambia usinunue uchi itakuwa masikini. Nilikiwa mdogo sikuelewa kabla. Nilipokua mtu mzima niligundua kwamba kujihusisha na mwanamke hovyohovyo ni kujiungamanisha na kuzimu kabisa. Soma Mithali 5
3 Maana midomo ya malaya hudondoza asali, Na kinywa chake ni laini kuliko mafuta;

4 Lakini mwisho wake ni mchungu kuliko pakanga; Ni mkali kama upanga wa makali kuwili.

5 Miguu yake inatelemkia mauti; Hatua zake zinashikamana na kuzimu;
Kujiungamanisha na wanawake ni kujiua mwenyewe. Ndani Yao Kuna umasikini, kudhalilika, kudhraulika na Kila mtu, kutengwa na Mungu na kifo. Waepuke hata mguu wako usikanyage kizimgiti Cha nyumba yake.
 
Back
Top Bottom