Mwanaume kudanga ni sawa?

Mwanaume kudanga ni sawa?

Hivi kumbe bado unawaza mpaka umpate . Haya endelea kusubiri tu
mimi nna miaka 34 elimu sina kazi ngumu nafanya lakini kipato hakinisogezi popote zaidi ya kula na kuishi nakaa site ya mtu na sina mtoto mke wala mtu wakunisaidia
ivi wadau nikipata msichana anauwezo tukasaidiana maisha ntakua na kosea
 
huuuhu unajua nimetafuta title nzito ku gain attention but msg ina ukweli
Title yako haihusiani na ulichoandika kwenye uzi.

Kwenye uzi upo sahihi asilimia zote mbona wengi wanaishi hivyo.
 
Back
Top Bottom