Mwanaume kufuga kucha na minywele ni ukosefu wa kazi

Mkuu unapaswa unashikashika vitu /ungekuwa mikoani ningekuxhauri ulime hta mara moja moja. ..mikono milaini kma wa (ke) wewe hpo ukivamiwa ukaanza kudefence utaweza kweli. ........mkono wa dar ni hovyo
 
Kufuga kucha ni uchafu kwa kila mtu,na kufanya hivyo ni kinyume na maumbile.
 
Mkuu unapaswa unashikashika vitu /ungekuwa mikoani ningekuxhauri ulime hta mara moja moja. ..mikono milaini kma wa (ke) wewe hpo ukivamiwa ukaanza kudefence utaweza kweli. ........mkono wa dar ni hovyo
Mkuu kwamba ni mimi?
 
Nakumbuka nilivokuwa mdogo maza alikuwa ana mind Sana akiona nimefuga kucha ya kidole kidogo.kwa Kweli haipendezi kwa mwanaume kufuga kucha kwenye nywele sijui
WAZEE WA PICHA.HIVI NDIVYO VIDOLE VINATAKIWA VIWE NADHIFU MUDA WOTEView attachment 881086
wengine tukionesha vidole vyetu ma she watatufata inbox maana vidole vingine vinatafsir maumbile yetu yandani.
 
wengine tukionesha vidole vyetu ma she watatufata inbox maana vidole vingine vinatafsir maumbile yetu yandani.
Mkuu niruhusu ni kupm unielezea kiundani hili suala linakaa vp
 
Kati ya vitu sija wahi hata kuvifikiria..... kupoteza muda bila sababu..........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…