- Thread starter
- #121
Hahahah[emoji109]Kwaiyo sisi marasta fariani tumekosa kazi!!? Peace man [emoji1535][emoji1534][emoji3][emoji3]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahah[emoji109]Kwaiyo sisi marasta fariani tumekosa kazi!!? Peace man [emoji1535][emoji1534][emoji3][emoji3]
Tupo pamojaAkili ni nywele wewe. Endelea kutoa akili kichwani kwako
Kufuga kucha ni uchafu kwa kila mtu,na kufanya hivyo ni kinyume na maumbile.Nimeamua kuleta thread hii mbele yenu kwa faida za wanajamii wa humu ndani na wengine wa nje.
KWAMBA
mwanaume kupoteza muda mwingi wa kufuga kucha na minywele kibao ambayo hayana faida yoyote wala kipato chochote ni ukosefu wa kazi tuu.
Nimeleta uzi huu kwa nia ya makusudi kabisa ili utoe fundisho kwa wanajukwaa wa aina hii.
Si minywele tuu wala kucha bado vipo vingi unaweza kuongezea vinavyokukera kama wewe mwanajukwaa ambavyo vitasaidia wengi humu wawe kama wanaume kamili
Mwanaume kulala uchi wa mnyama ni upumbavu uliotukuka - JamiiForums
Off
Mkuu kwamba ni mimi?Mkuu unapaswa unashikashika vitu /ungekuwa mikoani ningekuxhauri ulime hta mara moja moja. ..mikono milaini kma wa (ke) wewe hpo ukivamiwa ukaanza kudefence utaweza kweli. ........mkono wa dar ni hovyo
Hahhaha.nakuunga mkonoKufuga kucha ni uchafu kwa kila mtu,na kufanya hivyo ni kinyume na maumbile.
Daaa mkuu umenifanya nicheke kwa nguvu mpaka kuna watu wamenishangaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwaiyo unataka wote tuwe na mipara kama ma shaolin?
wengine tukionesha vidole vyetu ma she watatufata inbox maana vidole vingine vinatafsir maumbile yetu yandani.Nakumbuka nilivokuwa mdogo maza alikuwa ana mind Sana akiona nimefuga kucha ya kidole kidogo.kwa Kweli haipendezi kwa mwanaume kufuga kucha kwenye nywele sijui
WAZEE WA PICHA.HIVI NDIVYO VIDOLE VINATAKIWA VIWE NADHIFU MUDA WOTEView attachment 881086
hahahahhaha.mkuu aliamua kusema yoteDaaa mkuu umenifanya nicheke kwa nguvu mpaka kuna watu wamenishangaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu niruhusu ni kupm unielezea kiundani hili suala linakaa vpwengine tukionesha vidole vyetu ma she watatufata inbox maana vidole vingine vinatafsir maumbile yetu yandani.
tupo pamojaKati ya vitu sija wahi hata kuvifikiria..... kupoteza muda bila sababu..........
Hahahahaha,hongera mkuu kwa msimamoMkuu kwenye nywele haiwezekani nasisikitiza tena haiwezekaniView attachment 893660
tupo pamojaUpande wa nywele tusamehe ila kwenye kucha hapo sawa.
Afro Niggaz
Hahaha,basi fanya kufuga then usihabgaike nazo baada ya mda utakachokikuta unipmKwani kufuga nywele ni kazi au mana sijaelewa maana hiyo ni kazi ya kichwa