Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,506
zinatumika kufinya pindi unapong'ang'ania kifuani na mijasho yako wakati mwezio kachoka....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hupendelei kucha mkuu??Huo Ni uchafu tu, Na hao yaonyesha hawajasoma sayansi kimu....!
Duuuh! basi sawa mkuu kama utakuwa umesimpolaizi hivyo, otherwise mimi nilikuwa nimeelewa tofauti km mwanafunzi wa A'level anayesoma pure mathematics hlf akutane na swali la 1+2 kwenye necta, ataanza kucomplicate maana atajua kategwa hahaha.....atanza kulet x=1 na Y= 2Amesema hapo juu kua mwanamke akifuga ni urembo pia zinaamsha hisia za mwanaume chumbani,
Basi na mwanaume pia zinaamsha hisia za mwanamke.
eeh! asante kwa kunijuza, ila sina uhakika hii inaapply kwa wanawake wote.Zina kazi maalum kwenye majamboz....
Ukinipapasa nayo tar-tiiibu mgongoni kwangu burudani
Of course hatuwezi fananaeeh! asante kwa kunijuza, ila sina uhakika hii inaapply kwa wanawake wote.
Hahahah aisee kumbe hazina kaziSio urembo
Ni ujinga
Kucha zinafuga uchafu hilo halina ubishi
Hao wanaosema eti kina kazi kwenye MAPENZI huwa naona ni utoto na ujinga
Yaani kweli tunakuwa wadhaifu iv kwenye MAPENZI kiasi cha kubadili kazi ya organ za mwili... Mimi binafsi zishauri ufugaji wa kucha kwa mwanaume sambamba na uvaaji wa mabangili mikufu makacha
Hahahahaha aiseee kufinya tenaazinatumika kufinya pindi unapong'ang'ania kifuani na mijasho yako wakati mwezio kachoka....
Aisee umenikumbusha somo LA sayasi kimuHuo Ni uchafu tu, Na hao yaonyesha hawajasoma sayansi kimu....!
Mmmh makubwa kwahyo mwanaume wanafuga kwa kazi hiyo?Zina kazi maalum kwenye majamboz....
Ukinipapasa nayo tar-tiiibu mgongoni kwangu burudani
Zina kazi maalum kwenye majamboz....
Ukinipapasa nayo tar-tiiibu mgongoni kwangu burudani
Zina kazi maalum kwenye majamboz....
Ukinipapasa nayo tar-tiiibu mgongoni kwangu burudani
Jamani mwenye sukari hata nusu naazima maana nahisi kesho hapa nyumbani ni mwendo wa maji ya moto na majani tuu..
Leo nimeingia crdb nikahudumiwa na mwanaume amefuga kucha halaf anatype kwa madoido aisee nikabak nashangaaUchafu tupu
Kama hana elf 3 sio lazma anywe chaiTumia Asali mkuu,
Hakuna namna.
Ooh yes!Mmmh makubwa kwahyo mwanaume wanafuga kwa kazi hiyo?
AbeeeValentina
Una shilingi ngapi?mimi ninashida naomba mnielekeze jinsi ya kuanzisha topic natamani kupost yangu