Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Ukianza tu kufanana na mwanamke hill ni tatizo tayariiWengine mashoga wanapenda kufafana na wanawake kwa kila jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukianza tu kufanana na mwanamke hill ni tatizo tayariiWengine mashoga wanapenda kufafana na wanawake kwa kila jambo
Na mm mwanzoni nilikuwa nachemka sanamimi ninashida naomba mnielekeze jinsi ya kuanzisha topic natamani kupost yangu
nasikiaga huko dar mnaitaga hivyo kumaanisha madawa ya kulevya!...Aiseee wa mikoani Hamna hizi mambo?
Ngada ndo mini mkuu
Mh.... NitajaribuZina kazi maalum kwenye majamboz....
Ukinipapasa nayo tar-tiiibu mgongoni kwangu burudani
Aisee mm mgeni maeneo hayonasikiaga huko dar mnaitaga hivyo kumaanisha madawa ya kulevya!...
Leo nimeingia crdb nikahudumiwa na mwanaume amefuga kucha halaf anatype kwa madoido aisee nikabak nashangaa
Ya darcrdb ya bara au ya dar
Duh, kivipi?? Unakwaruza au unaziingiza??Kuamsha hisia kwa mwanamke.
Mambo ya chumbani usitake kuyajua saaaaana.Duh, kivipi?? Unakwaruza au unaziingiza??