DA
Mimi nimeongelea kwa upande wangu tu, lakin sihalalishi mwanaume hawezi kuomba vocha
Hivi kwanini kwenye masuala ya pesa za mwanamke kutumiwa na mwanaume inakuwa ngumu sana???
Any reason plse???
Ukiombwa kodi ya nyumba je si uta wehuka
l.o.l :hug: its sweeter that way.....mwanaume abaki kuwa mwanaume na awe na tabia za kiume.....period!!
[/SIZE][/B]
Wewe ni kichwa cha nyumba
Haki sawa hakuna wala nini kwanza si mshukuru siku hizi tunafanya kazi hatuwaombi ombi wanaume bana usipomuomba hela anabadilisha kiabao anaanza yeye kwa kudhani labda unazo sana kumbe basi tu mtu uso umeumbwa na haya kama unapata kidogo cha kukutosheleza uombe ombe ili iweje? sasa hivi wanawake wengi tu hawana tabia ya kuomba omba
Mimi na wewe tunajuana so nikiwa nimepigika sioni tatizo kukwambia lakini ingekuwa ndio mara ya kwanza tumekutana dah aisee ingekuwa ngumu
Ukiombwa kodi ya nyumba je si uta wehuka
hahhaha huyu kaishiwa sera hana lolote sio kama yuko mahali si rahisi kupata vocha.do tabia yake yaonyesha.
kwanini kila akipiga simu akiongea anasema please call me back,kama alikuwa ameamua kuoiga simu, aweke aitime yakutosha sio kutaka kuigiwa eboo..nani anamtaka mwenzake sasa,ningeanzisha kumtaka ningekuwa nampigia bila tatizo.hee!ajabu
Wewe ndo mzee wa nyumba halafu unataka mama ndo awe mwenye nyumba?? Lazima uonyeshe wewe ndo mwenye nyumba bana
Hahahah mwe inategemea ulishawahi nilipia?
Kumdhalilisha vipi sasa?kwani mfanyakazi mtongozaji ndo ana haki ya kuomba vocha?
angekuwa mshkaji sawa ningeona kawaida,ila siku zoote tuko kama strangers ni hi hi
kumbe mwenzangu anakufa kisabuni ,akaamua kuvunja ukimya
sasa ndo uniombe nikupigie na vocha juu!!
Hivi kuna mtu ananielewa kweli?au wote mnaona namfanyia mbaya????????
mkuu akiombwa hela ya kodi ya pango atazimia huyu... lolz
Wanaambiwa hivi ili wasijisikie vibaya, lakin uchumvi-chumvi uko pale pale :juggle::lol:
:lol::lol::lol:
hapana Maty kama huombi ni wewe na wengine wachache lakini majority ya wanawake ni 'kama kawa kama dawa' hata kama kamzidi mwanaume kipato
Wewe ndo mzee wa nyumba halafu unataka mama ndo awe mwenye nyumba?? Lazima uonyeshe wewe ndo mwenye nyumba bana
Na hazinduki mpaka kikombe cha babu :lol::lol:
Ahaaa ahaaa sugarcake naomba unitumie vocha ya tigo ya 500Maneno hayooooo
That's what I'm talking about
Angesubiri kidogo tu
Mpaka aitwe mpenzi
Hahaha lol
We bado hujaniomba vocher
Embu niombe haraka
hahahahahahahah lol
πanda:πanda:πanda:
ha ha ha ha tujisikie vibaya kwanini wakati hata pangekuwa pa chachu hamchoki kutaka kufika hapo? semeni yote ila wengine hadi wanafikia hatua ya kukana viapo na wengine kuua, kufisadi ili wapate tu kufika hapo....mna tabu nyie viumbe...acheni kuomba vocha!!
@MESTOD- ningemuomba anipe ina mana ya kwamba tayari angekuw ani mpenzi wangu so nisingekuja kulalamika,ila kwasababu sio mpenzi wangu na ndo yuko kwenye stage ya kunitongoza ndo mana kaniPUT OFF.
@Samora- sijawahi kukutana nae physically i.e. kama unamaanisha sexual intercourse..nimesema ni mtu ninafanya nae kazi nothing more.
Wanaume mnafurahisha sana,hapa mnajaribu kutetea lakini deep down ur hearts mnajua jamaa kachemsha..nyie wote mnaojibu hapa je mmewahi au mnaweza kufanya hivyo??
nijuavyo mimi mwanaume mara ya kwanza lazima ajitutumue ili aonekane yeye anaweza na sio kujishusha na kutafuta mteremko.
mkuu akiombwa hela ya kodi ya pango atazimia huyu... lolz
:lol::lol::lol::lol:mkuu akiombwa hela ya kodi ya pango atazimia huyu... lolz