Hapana. Mkaka mzuri tu na nilimsifia kwa driver wetu mmoja naona kaenda kumjaza basi na yeye akaja na kigezo chake cha udereva apate papuchiHahahahahaha! Amekosa consideration hivi hivi!! Revise your decision for reconsideration pls
Mzuri niwe mimi mchumba niringe? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani ningekuta kuna dialled kwenda kwako ningeifuta fasta.
Ila we naye umezidi uzuri, punguza kidogo watu wapate confidence bana.
hahaha inferiority complexity ipo kila mahali, kuna wenzako ukiwa naye rafiki akapata tatizo genuine ukamsaidia, baadaye ukimsaidia anaanza kusema 'unaninyanyasa kisa unanisaidia' ..., embu fikiria.Nilimchokoza ila hata kama ananitamani hawezi. Mmoja aliniambia ameshatafuta hela amepata nimkubalie sasa. Sasa huyo si ndo wale wale wa sina hela au kazi nzuri ntakuweza wapi
We nawe umezidi mno kuwa mzuri[emoji23] [emoji23]Umechoka eeh
hahahaha asa huyu shida yake ni ilele alosema mama Sabrina, hataki uanze kuulizia mambo ya future, anataka tu nanihiiHapana. Mkaka mzuri tu na nilimsifia kwa driver wetu mmoja naona kaenda kumjaza basi na yeye akaja na kigezo chake cha udereva apate papuchi
Nina wasi wasi na hicho kioo chako cha kujitazamia kitakuwa sio genuineUzuri gani? Labda uzuri wa akili ndo kidogo ninao ila kwingine sina uhakika na mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili la kwako linanikuta sana Mimi wananiogopa mpk najishtukia my dear na hivi naishi uswazi ndo looh!Wanaume wengi hutumia haka kamsemo ooo wewe hata sio hadhi yangu maana anataka kula na kusepa ili asingizie we sio hadhi yake kumbe wala sio mkaaji wala hana mapenzi yoyote,wana gia sana,mwanaume akikupenda hata uweje hawezi ogopa
Sio kweli. Mwingine we boss wake lazima aogope. Mwingine akijiona kabisa hamlingani jamani. Huyu wa leo katoa kali eti kisa yeye dereva naweza nikamuona vipi ila ni kweli ananipenda. Mwingine nilimzimikia na mimi nikawa namzingua we unakaaje na mimi hata huongei akasema tu naogopa bwana we hatufanani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I understand, and nakubaliana na wewe that you have to express your feelings whatever the situation is, but my point is we Men , Tunatakiwa kuweka mazingira rafiki ambayo yatakufanya kuwa na confidence ya kuwa na Msichana/Mwanamke fulani and hapa sijazungumzia specific about Money, hapa nimeinclude issues kama personality, attitude etc.Ina maana ukimpenda Zari hutamtokea sababu huna pesa? Pesa zinatafuta ila mapenz yanachipukia popote na kwa yeyote. Usitumie kazi yako au sura yako kama kigezo cha kutompata unaemtaka wakati unamtongoza.
Hahahahahaha......mbona kawaida tu, huko huwa tunatoa mapepo kitaalamu zaidi ikiwa ni pamoja na kutumia mbinu ambazo hujawahi kuziona au kuzisikiaHayo maneno uloyatia rangi kuonyesha msisitizo
kusema ukweli toka moyoni, hata story za "mwanaume domo zege" mimi huwa naziskia tu kwa watu huwa siamini kama mwanaume unaweza kabisa kushindwa kumapproach mwanamke na kuongea naye....unamfuata tu kama akikataa unarudia tena, uking'ang'ania bado tu anakataa ukathibitisha hakupendi si unamwacha unatafuta mwingine?....mapenzi ya wazungu ya kwenye tamthilia ati unampenda afu humwambiii siku mwenzio akichukua kitu unaugua ugonjwa wa moyo...
si unaona sasa? usitushangae. pia kuna over thinking about something. unaweza kuifikiria changamoto fulan sanaaaaaaa kabla hujachukua hatua yoyote, so by the time unaanza kuchukua hatua, ulishatengeneza picha flan ngumu kichwani.Eeh. Hawa wengi sana
asante Rahaziziz wangu,,Karibu sana bby. Nakusubiri karibu na home eeh
Mzigua wangu jamani hivi bado ujaridhika na mimi tu..!Wanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.
Mzuri niwe mimi mchumba niringe? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]