Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Mwanaume Kujiamini ni Silaha Tosha Kwenye Mahusiano

Nilimchokoza ila hata kama ananitamani hawezi. Mmoja aliniambia ameshatafuta hela amepata nimkubalie sasa. Sasa huyo si ndo wale wale wa sina hela au kazi nzuri ntakuweza wapi
hahaha inferiority complexity ipo kila mahali, kuna wenzako ukiwa naye rafiki akapata tatizo genuine ukamsaidia, baadaye ukimsaidia anaanza kusema 'unaninyanyasa kisa unanisaidia' ..., embu fikiria.
 
hahaha inferiority complexity ipo kila mahali, kuna wenzako ukiwa naye rafiki akapata tatizo genuine ukamsaidia, baadaye ukimsaidia anaanza kusema 'unaninyanyasa kisa unanisaidia' ..., embu fikiria.
Eeh. Hawa wengi sana
 
Hapana. Mkaka mzuri tu na nilimsifia kwa driver wetu mmoja naona kaenda kumjaza basi na yeye akaja na kigezo chake cha udereva apate papuchi
hahahaha asa huyu shida yake ni ilele alosema mama Sabrina, hataki uanze kuulizia mambo ya future, anataka tu nanihii
 
kusema ukweli toka moyoni, hata story za "mwanaume domo zege" mimi huwa naziskia tu kwa watu huwa siamini kama mwanaume unaweza kabisa kushindwa kumapproach mwanamke na kuongea naye....unamfuata tu kama akikataa unarudia tena, uking'ang'ania bado tu anakataa ukathibitisha hakupendi si unamwacha unatafuta mwingine?....mapenzi ya wazungu ya kwenye tamthilia ati unampenda afu humwambiii siku mwenzio akichukua kitu unaugua ugonjwa wa moyo...
 
Yaap wapo hao wanaotumia kama kigezo ila si wote
Wanaume wengi hutumia haka kamsemo ooo wewe hata sio hadhi yangu maana anataka kula na kusepa ili asingizie we sio hadhi yake kumbe wala sio mkaaji wala hana mapenzi yoyote,wana gia sana,mwanaume akikupenda hata uweje hawezi ogopa
Hili la kwako linanikuta sana Mimi wananiogopa mpk najishtukia my dear na hivi naishi uswazi ndo looh!

Najikuta nakaa naishi na ugwadu wangu tu!na siwezi kujitongozesha basi daahh!napambana tu hali ilivyo!!

Kuna mtu pale kitaa nimemzoea as a friend kuna siku walimuuliza umemzoaje yule dada[emoji23] [emoji23] mtu wenyewe miye mbuzi tuu sina lolote!
Sio kweli. Mwingine we boss wake lazima aogope. Mwingine akijiona kabisa hamlingani jamani. Huyu wa leo katoa kali eti kisa yeye dereva naweza nikamuona vipi ila ni kweli ananipenda. Mwingine nilimzimikia na mimi nikawa namzingua we unakaaje na mimi hata huongei akasema tu naogopa bwana we hatufanani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ina maana ukimpenda Zari hutamtokea sababu huna pesa? Pesa zinatafuta ila mapenz yanachipukia popote na kwa yeyote. Usitumie kazi yako au sura yako kama kigezo cha kutompata unaemtaka wakati unamtongoza.
I understand, and nakubaliana na wewe that you have to express your feelings whatever the situation is, but my point is we Men , Tunatakiwa kuweka mazingira rafiki ambayo yatakufanya kuwa na confidence ya kuwa na Msichana/Mwanamke fulani and hapa sijazungumzia specific about Money, hapa nimeinclude issues kama personality, attitude etc.
 
kusema ukweli toka moyoni, hata story za "mwanaume domo zege" mimi huwa naziskia tu kwa watu huwa siamini kama mwanaume unaweza kabisa kushindwa kumapproach mwanamke na kuongea naye....unamfuata tu kama akikataa unarudia tena, uking'ang'ania bado tu anakataa ukathibitisha hakupendi si unamwacha unatafuta mwingine?....mapenzi ya wazungu ya kwenye tamthilia ati unampenda afu humwambiii siku mwenzio akichukua kitu unaugua ugonjwa wa moyo...

Naona mkuu umepata mahali pa kufanyia marketing hahaha.

Wapiga kelele mara nyingi siyo watendaji, punguza kelele.
 
Eeh. Hawa wengi sana
si unaona sasa? usitushangae. pia kuna over thinking about something. unaweza kuifikiria changamoto fulan sanaaaaaaa kabla hujachukua hatua yoyote, so by the time unaanza kuchukua hatua, ulishatengeneza picha flan ngumu kichwani.

ndo hivi unakuwa hueleweki unasema nn....

si kwenye mapenzi tuu.., hata mambo mengine ya maisha.

usishangae sana, we mconside mshkaji atakaa sawa tu muda siyo mrefu, na utaenjoy uanaume wake muda si kitambo
 
Wanaume huwa mnaamini mwanamke mwenye muonekano fulani hawezi kuwa na wewe. Kwa mfano mwenye kazi nzuri kukuzidi au mwenye mvuto unaohisi wewe humfai. Mnachokosea ni kwamba mwanamke akikupenda hata uwe muokopa makopo atakukubalia. Ukiwa unapiga sound usianze kutumia maneno ooh najua mimi sio level yako we mzuri sana wewe una kipato kunizidi wewe this wewe that blah blah. Nenda kwenye point sio kuanza kujilalamisha uonewe huruma. Mwanaume ukijiamini hata uweje utapata mwanamke unaemtaka. Kazi yako au muonekano wako hauhusiani na mapenzi yako.
Natamani huyu kaka alonipigia simu saa hizi asome hapa maana hata kama nilipanga kumkubali basi tena keshanikosa.
Mzigua wangu jamani hivi bado ujaridhika na mimi tu..!
Screenshot_2018-01-09-16-47-39.jpg
 
Back
Top Bottom