Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,080
- 4,273
Hii tabia inakera na kuchosha pia. Nashindwa kuelewa ni nini kimewapata wanaume siku hizi kha!!!
Mimi imenitokea jana kuna rafiki tulizoea kukaa wote baa/club/hotel nk yeye alikuwa hawezi kuchangia bill kwa asilimia 100 nikawa namsaidia juzi nipo mtaani nikamuona anatembea nikampigia simu kha nilichoka hata salamu hana eti duh afadhali uninunulie bia mbili nilichoka na kukata simu.
Sio siri MNABOAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA SIO WOTE LKN
Mimi imenitokea jana kuna rafiki tulizoea kukaa wote baa/club/hotel nk yeye alikuwa hawezi kuchangia bill kwa asilimia 100 nikawa namsaidia juzi nipo mtaani nikamuona anatembea nikampigia simu kha nilichoka hata salamu hana eti duh afadhali uninunulie bia mbili nilichoka na kukata simu.
Sio siri MNABOAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA SIO WOTE LKN