Mwanaume kujiliza liza kha!

Mwanaume kujiliza liza kha!

Moja ya jukumu langu kubwa ni kuhakikisha mweza wangu anawekeza. Kuhakikisha anajua na kuweza kumanage wallet yake kwa sababu najua kabisa riziki leo kwako kesho kwa mwenzio. Ukiwekeza unajiepusha na mengi.

Nitasaidia kwa mapenzi (ugonjwa, dharura) lakini sio kama vile ni wajibu wangu kuhakikisha chumvi ipo. Akinipiga mzinga, (na huwa anafanya hivyo) mara moja moja ni acceptable. Lakini isiwe kawaida. Na anajua akinipiga mzinga ananipiga wa nguvu, lakini anajua hadi miezi sita au mwaka uishe ndio ataweza kunipiga mzinga mwingine. Mimi vile vile.

hiyo ni nzuri kwa msimamo wako. I hope kuwa mume wako ni muelewa wa kile unachokiamini..
 
hehehe acha tumsubirie asubuhi akuje kujibu hizi tuhuma adhawaizi nitampiga kibuti, mimi najipakazia galfriend wangu michelle lina mabusara sana JF halaf kumbe samtaim analoose temper bana! amenilet chini kweli aisee
Aaah! kamanda umeuona wiki mpya ? hivi mbona tunagongana kwenye anga zilezile lizzy,michelle,Spanish lady au taste zetu zinafanana nini ?
 
Aaah! kamanda umeuona wiki mpya ? hivi mbona tunagongana kwenye anga zilezile lizzy,michelle,Spanish lady au taste zetu zinafanana nini ?
kamanda watch out, Cheusimangala nimemuona yupo around na anaonekana ana jazba za kunyima mtu unyumba! hii post akiiona tu basi ujue imekula kwako.
 
kamanda watch out, Cheusimangala nimemuona yupo around na anaonekana ana jazba za kunyima mtu unyumba! hii post akiiona tu basi ujue imekula kwako.
Mkuu tunatishana tena hahaha! baba na babu yangu wote walikuwa na wake zaidi ya mmoja na ni muhimu kudumisha mila lol!
 
Mkuu tunatishana tena hahaha! baba na babu yangu wote walikuwa na wake zaidi ya mmoja na ni muhimu kudumisha mila lol!
hapo red nikiwa rais wa bongo nitahakikisha mila zinarudi, halaf anaepingana na mila tunamnyang'anya uraia. kupinga mila ni kosa la jinai bana. mizungu wanapigania mwanamme mmoja mwanamke mmoja kwasababu ikilembea goli moja tu inapoteza faham, na sisi waafrika tunaiga tu halaf tunakufa mishipa imesimama. khaaaa!
 
Wanaume mnaojiliza liza kama wanawake mnaboa sana, mnapiga mizinga kiasi kwamba mmetuzidi mpaka wanawake, mwanaume kama huna hela unatakiwa uonyeshe kwa vitendo na si kujiliza liza kama mmama, jikaze wewe mtoto wa kiume. Uko wapi uanaume wenu? mwakera sana ati

pole kwa kukerwa mpenzi.
 
hapo red nikiwa rais wa bongo nitahakikisha mila zinarudi, halaf anaepingana na mila tunamnyang'anya uraia. kupinga mila ni kosa la jinai bana. wazungu wanapigania mwanamme mmoja mwanamke mmoja kwasababu ikilembea goli moja tu inapoteza faham, na sisi waafrika tunaiga tu halaf tunakufa mishipa imesimama. khaaaa!
Ni kweli Kloro juzi kuna njemba jirani yangu mkewe kamruhusu kuoa mwanamke mwingine baada ya kushindwa kuhimili mikiki mikiki ya jamaa akaona asije kufa siku si zake au kulemaa kabisa lol!

OFF TOPIC:Eti kuna tetesi ulimpiga kibosile mmoja hapa JF groan mfululizo ndio maana imeondolewa ? na thanks zimeondolewa bcoz watu kama wewe mnapata zaidi ya asilimia 50 % na wakubwa wana average 15-20 % ya posts ?
 
Ni kweli Kloro juzi kuna njemba jirani yangu mkewe kamruhusu kuoa mwanamke mwingine baada ya kushindwa kuhimili mikiki mikiki ya jamaa akaona asije kufa siku si zake au kulemaa kabisa lol!

OFF TOPIC:Eti kuna tetesi ulimpiga kibosile mmoja hapa JF groan mfululizo ndio maana imeondolewa ? na thanks zimeondolewa bcoz watu kama wewe mnapata zaidi ya asilimia 50 % na wakubwa wana average 15-20 % ya posts ?
heheh hapo red inasemekana ndani ya masaa 4 wakuu wawili wa hii kaya (majina kapuni) walikuwa washalembewa groan kama 40 na ushee, wakaamua kuitupilia mbali demokrasia na kuondosha groan mazima, lakini kucover ukweli wakanyutralaizi situation kwa kuondoa na thanks ili wafuasi tuamini kwamba tumeuziwa ndiyo, lakini wajanja wa kigamboni tumeshtukia igizo lakini tunaminya tu kwa maslahi ya PM na vitongoji vyake.
 
Wanaume mnaojiliza liza kama wanawake mnaboa sana, mnapiga mizinga kiasi kwamba mmetuzidi mpaka wanawake, mwanaume kama huna hela unatakiwa uonyeshe kwa vitendo na si kujiliza liza kama mmama, jikaze wewe mtoto wa kiume. Uko wapi uanaume wenu? mwakera sana ati
Nakushauri uachane na mashobaro/marioo utaishia kupata maumivu tu.
 
Wewe sarafÍ huna jambo humu kama wewe unaboreka kaa chini tulia subiri wanaocheka

Kwani umeambiwa wanawake wote wanazani kama wewe?

Umekaa kidaku kweli na hii ni pumba umeandika mambo yako ya chumbani unatuletea humu

Duh nikion comment zako nitakufikiria kama li design fulani OVYO
 
Wewe sarafÍ huna jambo humu kama wewe unaboreka kaa chini tulia subiri wanaocheka

Kwani umeambiwa wanawake wote wanazani kama wewe?

Umekaa kidaku kweli na hii ni pumba umeandika mambo yako ya chumbani unatuletea humu

Duh nikion comment zako nitakufikiria kama li design fulani OVYO

Mwe watu mna mambo, umenichekesha asubuhi asubuhi kwi kwi kwi kwi sarafina utatolewa macho umewashika watu pabaya lol
 
Wewe sarafÍ huna jambo humu kama wewe unaboreka kaa chini tulia subiri wanaocheka

Kwani umeambiwa wanawake wote wanazani kama wewe?

Umekaa kidaku kweli na hii ni pumba umeandika mambo yako ya chumbani unatuletea humu

Duh nikion comment zako nitakufikiria kama li design fulani OVYO

Pole sana kaka kwa kukukwaza, ila hiyo tabia ya kulialia uache sio nzuri na inakera sana pia unajishushia hadhi. Kasirika unichukie, unitukane ila hiyo tabia sio nzuri
 
Assume wewe ni Presidaa...au waziri, na B.F ni ticha pale mbuyuni primary , unasemaje scenario kama hiyo?
Hiyo haikupi sababu ya kulialia shida hovyo, kwani mwalimu wa primary mshahara wako haukutoshi? mpaka uwe unatangaza shida mtoto wa kiume
 
wanaume kulia ni sawa kama ilivyo kwa wanawake-wote wanakuwa na emotions tu! kama mnaona wanaume wasilie basi na wanawake pia wasifanye hivyo yote haipendezi kwa jinsia nyengine,mtoa mada ungekuja na title tabia ya kulia lia huipendi tungekuelewa sababu ipo kwa jinsia zote mbili ila kuwalenga wanaume pekee unaonekana una ishu zako binafsi cha kushangaza wadada wamekuja kukusuport as if ni si sawa mwanaume kulia ila mwanamke ni sawa?:yawn:

Nashangaa watu mnavyokuja juu utadhani nimemtaja mtu humu kwamba ndio analialia, hii tabia ipo sana tu na inakera ndio maana umeona wanawake wengi wamesapoti. Kuna sehemu nimesema hata wanaume mwanamke akiwa anaomba omba hovyo anamkimbia, mbona kila siku mwalalamika wanawake wanapenda pesa, wanawake wauwaji etc.

Kama kuna ambae yuko hivi hata ukikasirika jua tu kwamba hiyo tabia inakera
 
Kwa nini uite crap babaubaya? kwani si iko sehemu ya mahusiano? mbona wanaume wamekazana mara wadada wauwaji, mara wadada wana mapenzi ya pesa na hauoni ni crap?

Sasa kama mwanamke tu kupenda pesa na wakati mwanaume ndio unatakiwa umtunze mnakereka, je hili la mwanaume kujiliza liza kuliko hata mwanamke liko sawa

Kwa hiyo unataka kutuambia wewe kwa mwaka huu tu tangu uanze umependana na wangapi na wamekulilia wangapi? Au unamaanisha ukikutana na mwanaume yeyote barabarani hata asiyekujua/usiyemjua anakulilia umpe pesa? Na kama ni huyo wa kwako anakulilia unajuaje na wengine wanafanya hivyo, na kama hali hiyo inakukera kwa nini usimwache? Unataka sisi tukupe ushauri gani? Hilo ni fungu lako, labda kuna wenzio wanapenda kuliliwa wataona wamepata akienda huko. Kwa kuwa hilo ni fungu la kukosa kwako nadhani utafute mwingine, na kama kila unayekutana naye anakulilia shida basi tafuta matajiri!!
 
Back
Top Bottom