Mwanaume kujiliza liza kha!

Mwanaume kujiliza liza kha!

Hiyo haikupi sababu ya kulialia shida hovyo, kwani mwalimu wa primary mshahara wako haukutoshi? mpaka uwe unatangaza shida mtoto wa kiume

Jamani yaelekea hapa tunaongea na watoto. Hivi mshahara mwalimu unaujua wewe?
 
duh kweli u mshari Sarafina,sasa kwan kuna tatizo gan kupigwa mzinga,. Au unataka uwe unapga mzinga wewd tu?,acha hzo wewe c mnasema gender equality au?

Pole sana pawaga, sijasema watu wasisaidiane, kuna ile mizinga ya kistaarabu lakini kuna baadhi ya wanaume wamegeuza ile tabia ambayo wanawake walikuwa nayo ya kupiga mizinga hovyo wanayo wao. Mbona hata wanaume wamekua wakilalamikia hiyo tabia kwa wadada? Na wadada wanalalamika kama wakaka walivyokuwa wanalalamika
 
Nashangaa watu mnavyokuja juu utadhani nimemtaja mtu humu kwamba ndio analialia, hii tabia ipo sana tu na inakera ndio maana umeona wanawake wengi wamesapoti. Kuna sehemu nimesema hata wanaume mwanamke akiwa anaomba omba hovyo anamkimbia, mbona kila siku mwalalamika wanawake wanapenda pesa, wanawake wauwaji etc.

Kama kuna ambae yuko hivi hata ukikasirika jua tu kwamba hiyo tabia inakera

Sarafina, sioni kama humu utapata la maana kwa kuwa hata wewe kama ulifikiria vizuri unajua suala uliloleta halina sababu ya kujibiwa hapa. Wewe haupendi mwanaume kulia-lia kama unavyosema, basi weka masharti kila mwanaume anapokutokea au unapomtokea maana hii ni mutual process na yeyote anaweza kuanzisha kwani muda wa wadada kujishaua ati mwanamke hawezi kumtokea mwanaume ulishapita, (...it is more business-like nowadays). Weka masharti kuwa kama unataka kuwa nami, number one qualification...hakuna kulia-lia. Ukifanya hivyo sidhani kama tutaiona tena thread ya namna hii hapa JF!
 
Jamani yaelekea hapa tunaongea na watoto. Hivi mshahara mwalimu unaujua wewe?

Pole sana haya mimi ni mtoto, Mshahara huwa hautoshi hata upewe milioni, chacharika uwe na vyanzo vingine vya kukuingizia kipato. Tumeona walimu wengi toka enzi hizo wanatunza familia zao vizuri sana kwa mishahara hiyo hiyo we wa wapi wewe
 
Wanaume mnaojiliza liza kama wanawake mnaboa sana, mnapiga mizinga kiasi kwamba mmetuzidi mpaka wanawake, mwanaume kama huna hela unatakiwa uonyeshe kwa vitendo na si kujiliza liza kama mmama, jikaze wewe mtoto wa kiume. Uko wapi uanaume wenu? mwakera sana ati

Dah!

Heading nilifikiri kujiliza liza kwenye majambo... Kumbe Kupiga Mizinga!

Sarafina1, inakuwaje sasa na wewe unapigwa Mzinga na mwanaume anayelialia? Na wewe inafaa ulielie pia au?
 
Sarafina, sioni kama humu utapata la maana kwa kuwa hata wewe kama ulifikiria vizuri unajua suala uliloleta halina sababu ya kujibiwa hapa. Wewe haupendi mwanaume kulia-lia kama unavyosema, basi weka masharti kila mwanaume anapokutokea au unapomtokea maana hii ni mutual process na yeyote anaweza kuanzisha kwani muda wa wadada kujishaua ati mwanamke hawezi kumtokea mwanaume ulishapita, (...it is more business-like nowadays). Weka masharti kuwa kama unataka kuwa nami, number one qualification...hakuna kulia-lia. Ukifanya hivyo sidhani kama tutaiona tena thread ya namna hii hapa JF!

Kama hakuna nitakalopata la maana humu ungekaa kimya tu mpendwa. Ila hujui tu hata wewe kati ya uliyoandika kuna la maana nimeondoka nalo
 
Dah!

Heading nilifikiri kujiliza liza kwenye majambo... Kumbe Kupiga Mizinga!

Sarafina1, inakuwaje sasa na wewe unapigwa Mzinga na mwanaume anayelialia? Na wewe inafaa ulielie pia au?

Baba-enock mi nilishawahi pata mmoja wa hivi nilichokua nafanya kila nikimuona namsalimia kwa shida mbona alikimbia mwenyewe? Hii tabia ipo watu wanabisha na inawatokea wadada wengi tu, nilichotaka kusema ni kwamba hii tabia inakera na haijalishi kwa mwanaume au mwanamke.

Hii tabia inatakiwa iishe. Na ukitaka kujua imekithiri wanaume wengi wamejibu kwa jazba humu. Wastaarabu wasiolialia kama wewe mbona mmejibu tu kistaarabu kwani hamna hiyo tabia
 
Baba-enock mi nilishawahi pata mmoja wa hivi nilichokua nafanya kila nikimuona namsalimia kwa shida mbona alikimbia mwenyewe? Hii tabia ipo watu wanabisha na inawatokea wadada wengi tu, nilichotaka kusema ni kwamba hii tabia inakera na haijalishi kwa mwanaume au mwanamke.

Hii tabia inatakiwa iishe. Na ukitaka kujua imekithiri wanaume wengi wamejibu kwa jazba humu. Wastaarabu wasiolialia kama wewe mbona mmejibu tu kistaarabu kwani hamna hiyo tabia

Sarafina, how do you know?(red, bold) Never judge a book by its cover...utaangukia anayelia-lia, aina hiyo usiyoitaka. Take care
 
wakaka humu leo wamegeuka mbogo kama si pilipili, lakini hakuna thread zinazoongoza kama zawanawake humu ndani, mbona sisi hatukasiriki? ooh msichana kamsaliti bwana wake, ooh msichana kaenda ofcn bila chupi, mara sijui kikapanda kikashuka kachukua bwana wa mtu

mbona hatukasiriki????????????

leo mmeguswa nyie mnaruka kama mmekanyaga moto vile aaahh!!!!!!!!

ukisikia paaaaaaaaaaaaa ujue imempata hiyoooo!!!
 
aiseeeeee kwa hiyo mmekonkludi nini kwenye hii threadi? manake nimeona watu hadi mmepeana majibu kwa hasira bana

wapi michelle.. hasira hazijaisha bado? loolz
 
wakaka humu leo wamegeuka mbogo kama si pilipili, lakini hakuna thread zinazoongoza kama zawanawake humu ndani, mbona sisi hatukasiriki? ooh msichana kamsaliti bwana wake, ooh msichana kaenda ofcn bila chupi, mara sijui kikapanda kikashuka kachukua bwana wa mtu

mbona hatukasiriki????????????

leo mmeguswa nyie mnaruka kama mmekanyaga moto vile aaahh!!!!!!!!

ukisikia paaaaaaaaaaaaa ujue imempata hiyoooo!!!

Susy avatar yako mpendwa.:angel::angel:
 
Wanaume mnaojiliza liza kama wanawake mnaboa sana, mnapiga mizinga kiasi kwamba mmetuzidi mpaka wanawake, mwanaume kama huna hela unatakiwa uonyeshe kwa vitendo na si kujiliza liza kama mmama, jikaze wewe mtoto wa kiume. Uko wapi uanaume wenu? mwakera sana ati

Wote tupo sawa simlisema nyie? Au ni kwenye vyeo tu?
 
aiseeeeee kwa hiyo mmekonkludi nini kwenye hii threadi? manake nimeona watu hadi mmepeana majibu kwa hasira bana

wapi michelle.. hasira hazijaisha bado? loolz

Na uzee huu nikikasirishwa ni keyboard nitakufa presha Samora wangu.....maisha yana mitihani mingi,maswala madogo ya kujadili hoja mara chache sana yananifikisha kwenye hasira....tupe conclusion wewe...l.o.l
 
Mwanaume anayempiga mzinga mwanamke si mwanaume huyo! 'Baby go n' spoil your self' anakushikisha black card. Huyu ndio mwanaume, tena hasubiri uombe. Mwanaume anatakiwa akimuangalia mkewe/mpenziwe usoni ajue tatizo liko wapi na kufanikisha kama sio kutekeleza the soonest possible.

Endeleeni kulia.

You made my day...Blessings!
 
Mimi ni katika wanawake wanaopinga hiyo kauli ya usawa kati ya mwanamke na mwanaume.

@ Mpendwa. Siku ya kwanza nakutana na mwanaume namweleza kabisa udhaifu wangu, napenda pesa, naitafuta ila pesa yangu ni yangu na yako ni yetu. Walioona hawaniwezi walijiweka pembeni mapema.

Tuko pamoja!!!! :A S-omg:
 
hehehe acha tumsubirie asubuhi akuje kujibu hizi tuhuma adhawaizi nitampiga kibuti, mimi najipakazia galfriend wangu michelle lina mabusara sana JF halaf kumbe samtaim analoose temper bana! amenilet chini kweli aisee
ha ha ha ha....ngoma droo...samahani kipenzi,yaishe....huwezi amini wala sikuwa na hasira jana, ni ubishi tu wa kijinga....

Aaah! kamanda umeuona wiki mpya ? hivi mbona tunagongana kwenye anga zilezile lizzy,michelle,Spanish lady au taste zetu zinafanana nini ?
waswahili wanasema usiteme big G(chewing gum) kwa karanga za kuonjeshwa....yu wapi Lizzy??!

kamanda watch out, Cheusimangala nimemuona yupo around na anaonekana ana jazba za kunyima mtu unyumba! hii post akiiona tu basi ujue imekula kwako.
:alien::alien::yawn::yawn:
 
Pengine tunatarajia ka junior, acha tumhesabie miezi 9. halaf hakawii kusema ujauzito nimempa mimi. khaaa! chonde chonde michelle

nimebakiza miwili tu ka junior katakuja.....hukuniambia chonde chonde wakati una....nimepata ka junior ndo unajua kusema chonde chonde.....nami nasema chonde chonde Kloro....:angry:
 
Back
Top Bottom