Mwanaume kumbuka we ni wa thamani

Mwanaume kumbuka we ni wa thamani

Kwanza kabisa jifunze kutofautisha kati ya nature na social constructs, ulichokisema wewe siyo kanuni ya asili bali ni mtazamo wa jamii nyingi toka enzi na enzi kwamba binti kamwe hawezi kumsahau mwanaume aliyemtoa bikira, na mara nyingi mitazamo fulani ikishajengeka kwenye jamii husika ikadumu vizazi hadi vizazi basi hiyo mitazamo huanza kuchukuliwa kama ndio asili lakini kumbe ilitengenezwa na watu kama sisi tu

Mimi binafsi nimeshakutana na wanawake kadhaa ambao wanakiri kwamba walishawasahau wanaume waliowatoa bikira na wala hawana mapenzi nao kabisa, na hata hivyo hilo suala la kuchukulia bikira kwa uzito haliko kwenye jamii zote duniani labda kama hujatembeatembea kwenye nchi za watu, nimegundua hizo imani kwa asilimia kubwa zipo kwenye baadhi ya jamii za africa na asia na ndio maana nikakuambia uniambie ni kanuni gani ya kiulimwengu inayoamua kwamba thamani ya mwanamke iko kwenye bikira yake tu na si kitu kingine chochote

Sasa wewe unaniambia kuhusu mitazamo ya baadhi ya jamii kwani mitazamo ya jamii fulani ndio kanuni za asili, ili jambo liwe kanuni ya asili halitakiwi kuwa subjective bali linatakiwa kuwa objective kwa maana kwamba uwepo wake hautakiwi kutegemea mitazamo binafsi ya watu, yani watu wa jamii zote duniani wanatakiwa naturally wawe na utambuzi juu ya hiyo kanuni bila kuathiriwa na external factors kama gender stereotypes nk
Hakuna mwanamke anayesahau aliyemtoa bikra, hayupo. Sema wameamua "kumove on".

Pili ile hymen haikujileta yenyewe, ile ni asili na pia ina maana yake na tunaweza thibitisha usahihi wa maana yake kwa mambo halisi yanayotokea kila siku. Kanuni za asili ni kanuni za rohoni pia, Mungu ana hekima sana kuweka hymen pale na pale inapovunjwa kupitia ngono na mwanaume, kuna damu inatoka, ile damu ni covenant kati ya mwanamke na mwanaume aliyefanikiwa kumuingilia kwa mara ya kwanza, inaleta muunganiko wa nafsi ambayo ni ngumu kuivunja hata kama wakiachana. Mwanamke atamkubuka sana mwanaume maana yeye mwanamke ndo mlinzi wa agano hilo na yeyote anayekubali kuingiliwa anaipoteza ile thamani ya ulinzi. Hafai kabisa kuwa mke wa mwanaume mwaminifu. Ile bond ndo inawafanya wapashe viporo na kuwasaliti wenzao kwa kigezo kuwa hawaridishwi. Huwezi mridhisha mwanamke aliyepoteza thamani yake kwa kuwa na wanaume wengi huko nyuma, kwanza ni upumbavu.

Pia wanawake wasio bikra wengi wana emotional luggage iliyotokana na past relationships experience, huyu kumuoa ni hatari kwasababu bado hajajiponyesha , ndo wale wanaokubali haki sawa . Mafeminists wengi ni wasio mabikra. Nani anataka kukaa na mwanamke ambaye ana past mbaya? Hakuna.
 
Yesu alikuwa na thamani sana sawa, lakini alizaliwa Kwa kupitia tumbo la mwanamke tena bila kujamihiana , kama mwanamke hana thamani Mungu angemleta Kwa njia nyingine na kwanini Mungu asingemtolea Kwa mwanaume
Yesu alizaliwa kupitia tumbo la mwanamke mwenye thamani yaani bikra.
Ila unamuona Yesu huyohuyo anamuita mama yake "Mwanamke...".
Ila hujawahi muona Yesu akimuita Baba yake "mwanaume " ila alimuita "Baba".

Yesu alifahamu utofauti wa kithamani kati ya mwanamke na mwanaume. Mwanaume ni kiongozi, thamani yake huwezi fananisha na msaidizi.
 
Hakuna mwanamke anayesahau aliyemtoa bikra, hayupo. Sema wameamua "kumove on".

Pili ile hymen haikujileta yenyewe, ile ni asili na pia ina maana yake na tunaweza thibitisha usahihi wa maana yake kwa mambo halisi yanayotokea kila siku. Kanuni za asili ni kanuni za rohoni pia, Mungu ana hekima sana kuweka hymen pale na pale inapovunjwa kupitia ngono na mwanaume, kuna damu inatoka, ile damu ni covenant kati ya mwanamke na mwanaume aliyefanikiwa kumuingilia kwa mara ya kwanza, inaleta muunganiko wa nafsi ambayo ni ngumu kuivunja hata kama wakiachana. Mwanamke atamkubuka sana mwanaume maana yeye mwanamke ndo mlinzi wa agano hilo na yeyote anayekubali kuingiliwa anaipoteza ile thamani ya ulinzi. Hafai kabisa kuwa mke wa mwanaume mwaminifu. Ile bond ndo inawafanya wapashe viporo na kuwasaliti wenzao kwa kigezo kuwa hawaridishwi. Huwezi mridhisha mwanamke aliyepoteza thamani yake kwa kuwa na wanaume wengi huko nyuma, kwanza ni upumbavu.

Pia wanawake wasio bikra wengi wana emotional luggage iliyotokana na past relationships experience, huyu kumuoa ni hatari kwasababu bado hajajiponyesha , ndo wale wanaokubali haki sawa . Mafeminists wengi ni wasio mabikra. Nani anataka kukaa na mwanamke ambaye ana past mbaya? Hakuna.
Mkuu una uhakika 'thamani' ya bikira ya mwanamke iko kwenye hymen na si ile hali ya kuwa bado hajaingiliwa na mwanaume, kwahiyo unataka kusema kwamba binti akipoteza hymen yake katika mazingira mengine mfano kuendesha baiskeli au kuingiziwa kitu Ukeni maana yake amepoteza ile hali yake ya ubikira hata kama hajawahi kufanya mapenzi, sidhani kama unafahamu au una uhakika na ulichokiandika hivi unafahamu kwanini bikira Maria hata baada ya kumzaa Yesu bado aliendelea kuitwa bikira hadi pale alipoanza kuingiliwa na mumewe Yosefu

Halafu unataka kuniambia kwamba hata kama binti bikira yake ilitolewa kwa kubakwa basi tayari anakuwa ameshafanya agano na huyo mwanaume aliyembaka hivyo kamwe hawezi kumsahau si ndio, labda nikuambie tu bado hujaijua saikolojia ya wanawake vizuri unaandika nadharia zako tu na kulazimisha ziwe ndio uhalisia mwanamke anaweza akawa ametembea na wanaume watatu kwa nyakati tofauti tofauti, lakini akampenda kwa dhati na kushindwa kumsahau mwanaume wake wa pili au wa tatu kuliko huyo wa kwanza aliyemtoa bikira tena anaweza hata akamchukia kabisa kiasi cha kutotaka kumuona tena

Narudi kwenye hoja yangu ya hapo juu kwamba ubikira is not all about kile kingozi au ile damu tu kwanza sijui hata kama unafahamu kwamba kuna wanawake wengine wala hawatoki ile damu wanapotolewa bikira kwa sababu hymen zipo katika shape tofauti tofauti ila inaonesha ni wazi mmekaririshwa kuhusu maana ya neno bikira, na bikira siyo kwa wanawake tu hata mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi naye huitwa bikira kwa sababu ubikira ni hali na maana ya bikira ni mtu ambaye hajawahi kufanya hilo tendo na logically haiwezekani tendo linalohusisha jinsia mbili liwe kosa kwa jinsia moja halafu wakati huo huo liwe sawa kwa jinsia nyingine, yani unachotaka kutuambia ni kwamba ili mwanamke aendelee kuwa na thamani basi inatakiwa ajitunze hadi anakufa sasa kila mwanamke akisema ajitunze hadi anakufa ili awe na thamani je wanaume watafanya na kina nani
 
Hakuna mwanamke anayesahau aliyemtoa bikra, hayupo. Sema wameamua "kumove on".

Pili ile hymen haikujileta yenyewe, ile ni asili na pia ina maana yake na tunaweza thibitisha usahihi wa maana yake kwa mambo halisi yanayotokea kila siku. Kanuni za asili ni kanuni za rohoni pia, Mungu ana hekima sana kuweka hymen pale na pale inapovunjwa kupitia ngono na mwanaume, kuna damu inatoka, ile damu ni covenant kati ya mwanamke na mwanaume aliyefanikiwa kumuingilia kwa mara ya kwanza, inaleta muunganiko wa nafsi ambayo ni ngumu kuivunja hata kama wakiachana. Mwanamke atamkubuka sana mwanaume maana yeye mwanamke ndo mlinzi wa agano hilo na yeyote anayekubali kuingiliwa anaipoteza ile thamani ya ulinzi. Hafai kabisa kuwa mke wa mwanaume mwaminifu. Ile bond ndo inawafanya wapashe viporo na kuwasaliti wenzao kwa kigezo kuwa hawaridishwi. Huwezi mridhisha mwanamke aliyepoteza thamani yake kwa kuwa na wanaume wengi huko nyuma, kwanza ni upumbavu.

Pia wanawake wasio bikra wengi wana emotional luggage iliyotokana na past relationships experience, huyu kumuoa ni hatari kwasababu bado hajajiponyesha , ndo wale wanaokubali haki sawa . Mafeminists wengi ni wasio mabikra. Nani anataka kukaa na mwanamke ambaye ana past mbaya? Hakuna.
Kuvunja agano hilo inahitaji mwanamke atulie hasa ndani ya Yesu, yaani afanywe kuwa kiumbe kipya haswa, mbali na hapo kuoa mwanamke mwenye past mbaya ni hatari kwa mwanaume.
 
Mkuu una uhakika 'thamani' ya bikira ya mwanamke iko kwenye hymen na si ile hali ya kuwa bado hajaingiliwa na mwanaume, kwahiyo unataka kusema kwamba binti akipoteza hymen yake katika mazingira mengine mfano kuendesha baiskeli au kuingiziwa kitu Ukeni maana yake amepoteza ile hali yake ya ubikira hata kama hajawahi kufanya mapenzi, sidhani kama unafahamu au una uhakika na ulichokiandika hivi unafahamu kwanini bikira Maria hata baada ya kumzaa Yesu bado aliendelea kuitwa bikira hadi pale alipoanza kuingiliwa na mumewe Yusufu

Halafu unataka kuniambia kwamba hata kama binti bikira yake ilitolewa kwa kubakwa basi tayari anakuwa ameshafanya agano na huyo mwanaume aliyembaka hivyo kamwe hawezi kumsahau si ndio, labda nikuambie tu bado hujaijua saikolojia ya wanawake vizuri unaandika nadharia zako tu na kulazimisha ziwe ndio uhalisia mwanamke anaweza akawa ametembea na wanaume watatu kwa nyakati tofauti tofauti, lakini akampenda kwa dhati na kushindwa kumsahau mwanaume wake wa pili au wa tatu kuliko huyo wa kwanza aliyemtoa bikira tena anaweza hata akamchukia kabisa kiasi cha kutotaka kumuona tena

Narudi kwenye hoja yangu ya hapo juu kwamba ubikira is not all about kile kingozi au ile damu tu kwanza sijui hata kama unafahamu kwamba kuna wanawake wengine wala hawatoki ile damu wanapotolewa bikira kwa sababu hymen zipo katika shape tofauti tofauti ila inaonesha ni wazi mmekaririshwa kuhusu maana ya neno bikira, na bikira siyo kwa wanawake tu hata mwanaume ambaye hajawahi kufanya mapenzi naye huitwa bikira kwa sababu ubikira ni hali na maana ya bikira ni mtu ambaye hajawahi kufanya hilo tendo na logically haiwezekani tendo linalohusisha jinsia mbili liwe kosa kwa jinsia moja halafu wakati huo huo liwe sawa kwa jinsia nyingine, yani unachotaka kutuambia ni kwamba ili mwanamke aendelee kuwa na thamani basi inatakiwa ajitunze hadi anakufa sasa kila mwanamke akisema ajitunze hadi anakufa ili awe na thamani je wanaume watafanya na kina nani
Dada , unafikiria kiundani zaidi ambacho ni jema, ila we mwenyewe umesema kuwa " mwanamke anaweza kumchukia mwanaume aliyemtoa bikra " kumaanisha kwamba hawezi kusahau, na kumbuka ukimchukia mtu means unampenda maana upendo iko sambamba na chuki ndo maana huwezi kumsahau zaidi ya kumchukia. Kwanini niwe na mwanamke ambaye ana past ya chuki? Kwangu huyo hana thamani kwasababu ana trauma ndo maana nasema heri aliye bikra.

Kwa aliyebakwa , bado atamkumbuka aliyebakwa , ila tukiingia kwenye suala la rohoni , bado ana nafasi ya kufuta past hiyo. Soma alichoandika Aleyn ameandika vizuri sana.
 
Kuvunja agano hilo inahitaji mwanamke atulie hasa ndani ya Yesu, yaani afanywe kuwa kiumbe kipya haswa, mbali na hapo kuoa mwanamke mwenye past mbaya ni hatari kwa mwanaume.
Uko sahihi lazima damu itumike ili kulipa gharama za kutolewa ubikra kwa damu , hapo ndo tunakuja suala la damu ya Yesu.
 
Tatizo kuna hoja ya haki sawa ndio inatuharibia wanaume mana wanawake na wenyew wanataka kuwa na sauti
Mwanamke kusikilizwa asikilizwe ila sio kufikia stage ya kutaka utawala, wanawake wote wanaowaza kumtawala mwanaume kwenye ndoa au mahusiano ni wajinga kabisa tena akili wametupa.
 
Mwanamke kusikilizwa asikilizwe ila sio kufikia stage ya kutaka utawala, wanawake wote wanaowaza kumtawala mwanaume kwenye ndoa au mahusiano ni wajinga kabisa tena akili wametupa.
Umefeminist umetuharibia sana wanawake, hakika hii ni plan ya kuzimu.
 
Dada , unafikiria kiundani zaidi ambacho ni jema, ila we mwenyewe umesema kuwa " mwanamke anaweza kumchukia mwanaume aliyemtoa bikra " kumaanisha kwamba hawezi kusahau, na kumbuka ukimchukia mtu means unampenda maana upendo iko sambamba na chuki ndo maana huwezi kumsahau zaidi ya kumchukia. Kwanini niwe na mwanamke ambaye ana past ya chuki? Kwangu huyo hana thamani kwasababu ana trauma ndo maana nasema heri aliye bikra.

Kwa aliyebakwa , bado atamkumbuka aliyebakwa , ila tukiingia kwenye suala la rohoni , bado ana nafasi ya kufuta past hiyo. Soma alichoandika Aleyn ameandika vizuri sana.
Aiseee hivi unafahamu unachoandika kweli yani kumchukia mtu means unampenda na kwamba upendo uko sambamba na chuki, kwahiyo ikitokea mtu akaniulia ndugu yangu na nikamchukia kiasi cha kushindwa kumsahau maana yake nampenda huyo mtu, mkuu hebu acha basi kuandika nadharia zako na kulazimisha ziwe uhalisia halafu jifunze kutofautisha kati ya trauma na chuki mwanamke ana uwezo wa kumchukia ex wake na akampenda mume wake kuliko chochote hebu acheni kukariri
 
Aiseee hivi unafahamu unachoandika kweli yani kumchukia mtu means unampenda na kwamba upendo uko sambamba na chuki, kwahiyo ikitokea mtu akaniulia ndugu yangu na nikamchukia kiasi cha kushindwa kumsahau maana yake nampenda huyo mtu, mkuu hebu acha basi kuandika nadharia zako na kulazimisha ziwe uhalisia halafu jifunze kutofautisha kati ya trauma na chuki mwanamke ana uwezo wa kumchukia ex wake na akampenda mume wake kuliko chochote hebu acheni kukariri
Nafahamu nachokiandika. Huwezi chukia mtu kama huna hisia naye. Kuchukia mtu maana yake hisia zipo, so sihitaji kuwa na mwanamke kama huyo.

Na pia siandiki nadharia, hizi ni life experience zilizowakumba wanaume wengi , na wanajuta hadi Leo. Na mi nipo hapa kuwasaidia wanaume wasiwe na mahusiano na wanawake wasio bikra, ni hatari kwa afya ni hatari hata kwa kizazi kijacho, mwanamke asiye bikra atampa mfano gani mtoto wake wa kike kushinda vishawishi?

Kwanini umuoe mwanamke asiye bikra aliyekuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja?

Kwanini uwe na mahusiano na mwanamke asiye bikra ambaye amekunywa vidonge vya uzazi na wengine wamechomwa sindano za madawa ya uzazi wa mpango, baadaye akaja pata tatizo la Infertility?

Hapo ndo ubikra na hali ya kuwa safi kwa mwanamke inapokuwa na thamani, ni ujinga mtupu Philippo amuharibu msichana alafu mimi eti niweze vumilia na kurekebisha matokeo yaliyoletwa na Phiillipo.
 
Nafahamu nachokiandika. Huwezi chukia mtu kama huna hisia naye. Kuchukia mtu maana yake hisia zipo, so sihitaji kuwa na mwanamke kama huyo.

Na pia siandiki nadharia, hizi ni life experience zilizowakumba wanaume wengi , na wanajuta hadi Leo. Na mi nipo hapa kuwasaidia wanaume wasiwe na mahusiano na wanawake wasio bikra, ni hatari kwa afya ni hatari hata kwa kizazi kijacho, mwanamke asiye bikra atampa mfano gani mtoto wake wa kike kushinda vishawishi?

Kwanini umuoe mwanamke asiye bikra aliyekuwa na mahusiano na wanaume zaidi ya mmoja?

Kwanini uwe na mahusiano na mwanamke asiye bikra ambaye amekunywa vidonge vya uzazi na wengine wamechomwa sindano za madawa ya uzazi wa mpango, baadaye akaja pata tatizo la Infertility?

Hapo ndo ubikra na hali ya kuwa safi kwa mwanamke inapokuwa na thamani, ni ujinga mtupu Philippo amuharibu msichana alafu mimi eti niweze vumilia na kurekebisha matokeo yaliyoletwa na Phiillipo.
Sasa mbona unakwepa hoja hujibu maswali ninayokuuliza halafu bado unaendelea kuandika nadharia zako, nimekuuliza hivi kwa mfano mtu akaniulia ndugu yangu na nikamchukia kiasi cha kushindwa kumsahau je maana yake nina hisia na huyo mtu, halafu unaposema wanawake wanatakiwa watunze bikira hadi ndoa je wanaume watafanya na kina nani kabla ya ndoa au unamaanisha na wanaume nao wanatakiwa wajitunze hadi ndoa ili kubalance mizani
 
Sasa mbona unakwepa hoja hujibu maswali ninayokuuliza halafu bado unaendelea kuandika nadharia zako, nimekuuliza hivi kwa mfano mtu akaniulia ndugu yangu na nikamchukia kiasi cha kushindwa kumsahau je maana yake nina hisia na huyo mtu, halafu unaposema wanawake wanatakiwa watunze bikira hadi ndoa je wanaume watafanya na kina nani kabla ya ndoa au unamaanisha na wanaume nao wanatakiwa wajitunze hadi ndoa ili kubalance mizani
Swali la kwanza , umezungumza mauaji, ni tofauti na mapenzi. Ni case mbili tofauti kama x isivyofanana na y.
Swali la pili, women are gatekeepers of sex and men are gatekeepers of committed. Anayetakiwa kujitunza ni mwanamke kwasababu yeye ndo anamuhitaji mwanaume, mwanaume hamhitaji mwanamke kwa asilimia kubwa .
 
Swali la kwanza , umezungumza mauaji, ni tofauti na mapenzi. Ni case mbili tofauti kama x isivyofanana na y.
Swali la pili, women are gatekeepers of sex and men are gatekeepers of committed. Anayetakiwa kujitunza ni mwanamke kwasababu yeye ndo anamuhitaji mwanaume, mwanaume hamhitaji mwanamke kwa asilimia kubwa .
Dooh hivi kumbe na wewe ni kati ya wale mnaoamini kwamba mwanamke ndio anamhitaji mwanaume kuliko mwanaume anavyomhitaji mwanamke, basi naomba nikupe pole sana kwa sababu kwa dunia ya sasa hali halisi inaonesha mwanamke anawahitaji watoto wake zaidi kuliko anavyomhitaji mwanaume ilihali mwanaume bado anamhitaji mwanamke zaidi kuliko chochote, leo hii tunaona mwanamke akiwa single mother ana uwezo wa kutoka kuenda kuwatafutia wanaye na bado akarudi nyumbani na kutimiza majukumu ya nyumbani vizuri kabisa ila mwanaume akiwa single father lazima atahitaji mwanamke (haijalishi ni housewife au housegirl) ili kutimiza majukumu ya nyumbani huku akitoka kuenda kutafuta
 
Hiyo ni kwa mujibu wa kanuni gani ya kiulimwengu, ambayo inaamua kwamba mwanaume yeyote tu ana thamani, ila mwanamke thamani yake ni hadi awe bikira
Unashupaza domo kwakuwa bikra uliilia chips pale toroka uje
Hata kwa LUCIFER mwenyewe huapishwi kama huna binti bikra wa kukuvesha pete ya alama sasa hapo tu ni kwa shetani mwenyewe.
Bado unashupaza domo kama vile unajua kumbe ni likurubembe tu la JF.
 
Unashupaza domo kwakuwa bikra uliilia chips pale toroka uje
Hata kwa LUCIFER mwenyewe huapishwi kama huna binti bikra wa kukuvesha pete ya alama sasa hapo tu ni kwa shetani mwenyewe.
Bado unashupaza domo kama vile unajua kumbe ni likurubembe tu la JF.
Next time try to make some sense when you quote me
 
Back
Top Bottom