kitambi hussein
Member
- Nov 30, 2016
- 26
- 12
Mimi hua namtawaza mwanagu sina kinyaa na naona sahihi kbisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutawazwa na mwanamke sio mbaya ubaya kutawazwa na mwanaume mwenzakoNyie wanaume acheni ubinafsi mbona nyie mlitawazwa na wadada wa kazi
Bora umemwambia mana sio kila jambo ndani ya nyumba ni la mwanamke pekeeMkuu kama ni mtoto wangu naweza kumtawaza vizuri tu,labda kama ni mtoto wa mwingine ndo itakua ngumu.
Bora umemwambia mana sio kila jambo ndani ya nyumba ni la mwanamke pekee[/QUOTE]
![]()
1 Petro 2:7
Kadhalika ninyi waume,ishini na wake zenu kwa kuwahurumia mkitambua ya kuwa wao ni wadhaifu na hivyo muwape heshima,kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima,fanyeni ili sala zenu zisizuiliwe.
![]()
Wakolosai 3:18-19
Ninyi wake watiini waume zenu,kama ipendezavo ktk Bwana.
Ninyi waume wapendeni wake zenu msiwe na uchungu nao.
Kama unampenda na kumuonea huruma basi..............................
Wakuu hivi ni sawa kweli mwanaume kumtawaza mtoto hasa mtoto wa kiume?
Yani ushike kalio la mwanaume mwenzako kweli? Ushike ile anal ya mwanaume mwenzako kweli?
Hii haipo sawa kabisa akina mama hii ni kazi yenu msiwaachie makaka na mababa kazi hii
Nishashuhudia kesi nyingi mtu anamwambia mwenzake "wewe unajikuta mjanja nishakutawaza sana utotoni huniambii kitu hilo kalio lako nimelichezea sana"
Wakuu hivi ni sawa kweli mwanaume kumtawaza mtoto hasa mtoto wa kiume?
Yani ushike kalio la mwanaume mwenzako kweli? Ushike ile anal ya mwanaume mwenzako kweli?
Hii haipo sawa kabisa akina mama hii ni kazi yenu msiwaachie makaka na mababa kazi hii
Nishashuhudia kesi nyingi mtu anamwambia mwenzake "wewe unajikuta mjanja nishakutawaza sana utotoni huniambii kitu hilo kalio lako nimelichezea sana"
Kwa hiyo mkuu kushika tako la mwanao una ona sawa tu?Kwani Mkuu ukifanya hivyo uanaume wako utapoteza hadhi na kuanza kuonekana si mwanaume tena!? Mwanaume kumtawaza mwanae awe wa kike au wa kiume hakuna tatizo lolote lile.
Umeelewa mada?Mbona mwanaume anajitawaza?
Kwa hiyo mkuu kushika tako la mwanao una ona sawa tu?
Aisee mimi siwezi naona kama namdhalilisha ,sikubali hata siku moja mwanangu atawazwe na wanaume
Kuchafua pampers si anabadilishwa kawaida tu mimi nazungumzia unapomtawaza pale si unakuwa unamshika shika matako mtoto wako sasa ni haki hiyo?UNA MATATIZO WEWE, HAKUNA SHIDA YEYOTE KUMSAIDIA MKE WAKO UNAPOWEZA. MIMI I CAN DO 95% YA VITU ANAVYOFANYA MKE WANGU (KAZI ZA HOME) HUKU NINATABASAMU. KITU AMBACHO SIPENDI NI YEYE KU DEMAND, ILA HAFANYI HIVYO AND I REAL ENJOY DOING THAT. HIVI KAMA MKE HAYUPO NA DADA KALALA, MTOTO AKICHAFUA PAMPAS UTANGOJA WAAMKE? REAL? YOU WON'T DO IT?
Kuchafua pampers si anabadilishwa kawaida tu mimi nazungumzia unapomtawaza pale si unakuwa unamshika shika matako mtoto wako sasa ni haki hiyo?
Wewe ukishikwa tako utafurahi?
Ukipata mtoto ndo utajua umtawaze au umwache
Mie sio kutawaza tu, huwa nawaogesha kabisa. Na ninao mabinti wawili na wa kiume mmoja. Kama huna dirty minds huwezi kuwaza uliyoyaandika