Mwanaume kumtawaza mtoto ni sawa kweli?

Mwanaume kumtawaza mtoto ni sawa kweli?

Kua uyaone utamuacha mtoto na uchafu kwa kuwa Mama hayupo?

Wakati unampenda awe wako sio wako kama hamna MTU mwingine Wa kumhudumia unamsaidia .

Mtoa mada Akili za kibashite bashite yaani hujielewi hata kidogo .
 
Wakuu hivi ni sawa kweli mwanaume kumtawaza mtoto hasa mtoto wa kiume?

Yani ushike kalio la mwanaume mwenzako kweli? Ushike ile anal ya mwanaume mwenzako kweli?

Hii haipo sawa kabisa akina mama hii ni kazi yenu msiwaachie makaka na mababa kazi hii

Nishashuhudia kesi nyingi mtu anamwambia mwenzake "wewe unajikuta mjanja nishakutawaza sana utotoni huniambii kitu hilo kalio lako nimelichezea sana"
sio mtoto wako? kama sio mwanao basi sio sawa. ila kama ni mtoto wako sioni ubaya, pamoja na kwamba inategemeana umri wa mtoto na jinsia ya mtoto.

mimi kwamfano watoto wangu wa kike (ninao watatu, wote walikuwa wakimaliza kutita wananiita tu ...babaaa tayari nimemaliza njoo ninawishe...(mara nyingi kama mama hayupo na housegirl naona ametingwa labda anapika na sitaki ashike nnnya)...naenda namnawisha. walifanya hivyo wakifikia miaka minne na nusu mitano(5) wao wenyewe akili inawajia wanaanza kunikwepa. hata kuvaa nguo atakuja kwangu akiwa amevaa chupi, ila hata kumuogesha akishafika 5 wanajisikia vibaya kama aibu hivi. nikajua akili imeshawajia. the same applies to my sons...pamoja na kwamba hao hadi wafike seven hadi nine huko ndio wananiogopa kukaa uchi..napo ni kwasababu nawatandika fimbo. ukiwa mbali na mtoto wako kama unavyoamini hata akipshambuliwa na wageni au akipata tatizo anaweza kulificha utakuja kugundua muda umeshapita...muweke huru. kama akili za asili wanazo umri ukifika wao wenyewe watajiengua wala hautahitaji kuwafahamisha. hata hao walio na over ten years, wakihitaji kwenda uani wananiambia tu baba tunataka kwenda uwani (mfano kama mko out na mama hayupo)...taboo zitaanza pale wakishavunja ungo, pale wanatakiwa kuwa mbali kidogo pamoja na kwamba wanakuwa mbali kwenye maungo tu (wajisitiri) lakini kwenye ukaribu na baba unatakiwa kuwaweka karibu ili uwajue vizuri tabia. usimwachie mama peke yake, wanawake ni wadhaifu sana ndio maana asilimia kubwa ya watoto waliolelewa na mama peke yake wana udhaifu mkubwa kwenye tabia, uvumilivu, kujiamini na mambo kadha w akadha.
 
Yan kwa mliyomwambia yanamtosha kabisa maana cdhan kama nahitaj kumwambia kitu ila huyo ni yule mwanaume ambae mwanae akijisaidia hata kama mamake kaenda sokoni atamngoja arudi ndo amtawaze mtt...Fikra chafu sana hiyo
 
Mawazo mgando kwa watu mgando, nadhani utakuwa na matatizo kimtazamo kama sio kiakili.
 
natawaza watoto wangu wa kike kila siku. nafikiri ni wajibu wangu. mwisho ni miaka sita 6
 
Japo sijaelewa lakini kumtawadha mwanangu sioni shida yoyote
 
Kwa sisi wenye watoto sio issue, hasa kama nyumbani ni mimi na mke wangu tu, labda mwenzetu una uwezo wa kuwa na dada wakazi, na kama hayupo utamwacha mtoto na kinyesi mpaka warudi?! Hali ilivyo kwa sasa hata kuwa na dada wa kazi wa kumlipa ki haki ni shida, itabidi ubadilike tu mkuu, bado waishi maisha yale kale..
 
  • Thanks
Reactions: bbc
mmbona mimi namsafisha mtoto wangu tena wa kike and there is nothing wrong about that:
 
  • Thanks
Reactions: bbc
Wakuu hivi ni sawa kweli mwanaume kumtawaza mtoto hasa mtoto wa kiume?

Yani ushike kalio la mwanaume mwenzako kweli? Ushike ile anal ya mwanaume mwenzako kweli?

Hii haipo sawa kabisa akina mama hii ni kazi yenu msiwaachie makaka na mababa kazi hii

Nishashuhudia kesi nyingi mtu anamwambia mwenzake "wewe unajikuta mjanja nishakutawaza sana utotoni huniambii kitu hilo kalio lako nimelichezea sana"
Mazombie wamekuwa wengi mno JF, hivi mods mnafanya nini ?.I think inabidi kufanyike censorship maana jukwaa limevamiwa na wapumbavu.Hii sio JF ninayoifahamu people are talking too much shit.
 
Back
Top Bottom