Mujega nchioya
Member
- Jan 15, 2018
- 33
- 12
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]poleni ndo uanaume huohuku tunakoelekea tutaambiwa kuwa wanaume tunatakiwa kulala WIMA soon
Asiwapoteze huyu km unaita d huku unarembua basi jichungize lkn vinginevyo poa tuaiseee Mi kunamwanangu Tunamwita Dogo D... Au oyaa D ..Kwaiyo ndo tunajibebisha au mi ndoi sijaelewa mkuu
sasa narembuaje Mwanangu?.. ila fresh niko skangagaAsiwapoteze huyu km unaita d huku unarembua basi jichungize lkn vinginevyo poa tu
Oya D kwa kibesi inakuwa fresh tusasa narembuaje Mwanangu?.. ila fresh niko skangaga
Hahahaaa. Kaazi kweli kweli.
Ila kimjini mjini kila wanalofanya wanawake na baadhi ya wanaume huwa wanajikuta wanatamani tu kufanya na wao.
Hahaaa. Nini tena Mshenga?tobaaaaa.
we mwali wew
Hahaaa. Nini tena Mshenga?
Hahahaa. Mfano wewe Mshenga mwanaume mwenzio anakuita G.Kama sijakielewa hivi.
umesema huko dar wanaume wanafanyaje??
Hahahhaha we jamaa!!!! Au mwanaume badala yakutumia maji kuchambia tutumie Petroluanaume ni mgumu kila kitu kinapigwa
utaambiwa hata kuchambia maji utaambiwa wanawaume hatakiwi hivyo aseleleke tu kwenye majani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]uanaume ni mgumu kila kitu kinapigwa
utaambiwa hata kuchambia maji utaambiwa wanawaume hatakiwi hivyo aseleleke tu kwenye majani
Ni mtazamo tu Q usipanicWapoteze tu wenzio
Umri wako na matendo unayoyafanya haviendani kabisaa! Hiyo picha uliyoituma inafanya tuanze kukutilia mashaka.P...!? [emoji15] [emoji144] [emoji115]Pengwici!??? View attachment 742388