Mwanaume kumwita mwanaume mwenzio kwa herufi ya kwanza ya jina lake imekaaje?

Mwanaume kumwita mwanaume mwenzio kwa herufi ya kwanza ya jina lake imekaaje?

Kwa wale wa G ni sawa tu ni slang fulani hivi
 
uanaume ni mgumu kila kitu kinapigwa
utaambiwa hata kuchambia maji utaambiwa wanawaume hatakiwi hivyo aseleleke tu kwenye majani
Hahahhaha we jamaa!!!! Au mwanaume badala yakutumia maji kuchambia tutumie Petrol
 
Hata Mimi nimeshangaa sana nimeona kwenye Uzi wa Paschal Mayala, kuna mtu Kipindi anachangia akamwita "P" badala ya Paschal.
 
Back
Top Bottom