Mwanaume kumwita mwanaume mwenzio kwa herufi ya kwanza ya jina lake imekaaje?

Mwanaume kumwita mwanaume mwenzio kwa herufi ya kwanza ya jina lake imekaaje?

Wakuu,

Leo nimepigwa na butwaa kuona mwanaume anamuita mwanaume mwenzie 'P'. Jamani kumwita mtu kwa herufi ya kwanza ya jina lake ni kama kujibebisha fulani.

Mwanaume unafungua kinywa kabisa unamuita mwanaume mwenzio "D" au "J"? Kweli?

Mwanaume kaza kidogo. Huwezi kukosa nguvu ya kutaja jina zima.
Hao ni wanaume wa Dar.... tehteehhh
 
Wakuu,

Leo nimepigwa na butwaa kuona mwanaume anamuita mwanaume mwenzie 'P'. Jamani kumwita mtu kwa herufi ya kwanza ya jina lake ni kama kujibebisha fulani.

Mwanaume unafungua kinywa kabisa unamuita mwanaume mwenzio "D" au "J"? Kweli?

Mwanaume kaza kidogo. Huwezi kukosa nguvu ya kutaja jina zima.
mwanzo ulikuwa na akili,now umekumbwa na nini?
 
Mwanaume hatakiwi kua Na ivyo vitabia vya kike nyemelezi ...ndio maana kuna mwanaume aliekamilika Na wale walioko kati yaani tunawaita .other
 
Mwanaume kamili hatumii hata emoji emoji
 
Wakuu,

Leo nimepigwa na butwaa kuona mwanaume anamuita mwanaume mwenzie 'P'. Jamani kumwita mtu kwa herufi ya kwanza ya jina lake ni kama kujibebisha fulani.

Mwanaume unafungua kinywa kabisa unamuita mwanaume mwenzio "D" au "J"? Kweli?

Mwanaume kaza kidogo. Huwezi kukosa nguvu ya kutaja jina zima.
Mbona huko Dar kawaida tu.!
Si unajua tena vijana wengi wa Dar ni "Mbogamboga"
 
uanaume ni mgumu kila kitu kinapigwa
utaambiwa hata kuchambia maji utaambiwa wanawaume hatakiwi hivyo aseleleke tu kwenye majani
Nmecheka sana mkuu.
Kwamba tuanze kutumia magunzi sasa ili tuonekane hiphop
 
Wakuu,

Leo nimepigwa na butwaa kuona mwanaume anamuita mwanaume mwenzie 'P'. Jamani kumwita mtu kwa herufi ya kwanza ya jina lake ni kama kujibebisha fulani.

Mwanaume unafungua kinywa kabisa unamuita mwanaume mwenzio "D" au "J"? Kweli?

Mwanaume kaza kidogo. Huwezi kukosa nguvu ya kutaja jina zima.
Haaaa wa Dar huyo[emoji115] [emoji23] [emoji51] [emoji16]
 
Wakuu,

Leo nimepigwa na butwaa kuona mwanaume anamuita mwanaume mwenzie 'P'. Jamani kumwita mtu kwa herufi ya kwanza ya jina lake ni kama kujibebisha fulani.

Mwanaume unafungua kinywa kabisa unamuita mwanaume mwenzio "D" au "J"? Kweli?

Mwanaume kaza kidogo. Huwezi kukosa nguvu ya kutaja jina zima.
ungetufafanulia kidogo ni wa dar au sisi wa mikoani
 
Wakuu,

Leo nimepigwa na butwaa kuona mwanaume anamuita mwanaume mwenzie 'P'. Jamani kumwita mtu kwa herufi ya kwanza ya jina lake ni kama kujibebisha fulani.

Mwanaume unafungua kinywa kabisa unamuita mwanaume mwenzio "D" au "J"? Kweli?

Mwanaume kaza kidogo. Huwezi kukosa nguvu ya kutaja jina zima.
Profesa J itabidi aanze kuitwa Profesa Josefu!
 
au mwanaume kujibu "K" au "P" au "Mambo my " kwa mwanaume mwenzie kupitia sms ni uchoko
 
uanaume ni mgumu kila kitu kinapigwa
utaambiwa hata kuchambia maji utaambiwa wanawaume hatakiwi hivyo aseleleke tu kwenye majani
hahaa mwanaume utaogaje kila siku hiyo ni yabia ya kike.
 
Back
Top Bottom