Haahah hii nooma sanaKanga na vitenge ni mavazi ya wanawake, kwahiyo mwanaume akivaa vazi hilo, anakuwa amejifananisha na wanawake, na hili jambo baya kabisa.
Misuli ndiyo mavazi yetu, tuvae misuli ama kanga na vitenge ni mavazi ya wanawake.
Ahsante.
Sahihi kabisa, mpaka shati la kitenge mimi sivai mzee.Haahah hii nooma sana
mimi hata barakoa ya kitenge akivaa man najisikia hovyo
Vipi suruwali zile hasa jeans mbona wanawake wanavaa Sana?Kaka na vitenge ni mavazi ya wanawake, kwahiyo mwanaume akivaa vazi hilo, anakuwa amejifananisha na wanawake, na hili jambo baya kabisa.
Misuli ndiyo mavazi yetu, tuvae misuli ama kanga na vitenge ni mavazi ya wanawake.
Ahsante.
Huku kwetu suala hilo pia kwao halifai.
π π π π πkuvaa chochote hata dera akitaka.