Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 15,335
- 29,114
Wanawake wengine unawatamani tu kufanya nao tendo la ndoa , hamu ikiisha na nafasi yao kwisha.
Hiyo ni ‘ngono’ bwashee, tendo la ndoa ni kwa mkeo tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake wengine unawatamani tu kufanya nao tendo la ndoa , hamu ikiisha na nafasi yao kwisha.
Vipi kuvaa chupi ya mkeo , tena hiyo haoni mtu mwingine yeyote.cha mwanamke ni cha mwanamke Mkuu.Haina shida hiyo
....mwenzako ww nani??...kila mtu kazaliwa kivyake atakufa kivyake so usimpangie..... mind your own damn business........Dah unakuta mwanaume amejaaliwa ki aina halafu kapiga hyo khanga mi huwa nadinda aisee,ebu tuvae tu mavazi yetu na mataulo tukienda kuoga
Ni maneno tu, tendo ni lile lile, japo siko mbali na ww.Hiyo ni ‘ngono’ bwashee, tendo la ndoa ni kwa mkeo tu.
Mnh.! Basi poa_kuanzia kesho nitamwambia mama watoto awache kabisa kunipa kile kitenge chakeKanga na vitenge ni mavazi ya wanawake, kwahiyo mwanaume akivaa vazi hilo, anakuwa amejifananisha na wanawake, na hili jambo baya kabisa.
Misuli ndiyo mavazi yetu, tuvae misuli ama kanga na vitenge ni mavazi ya wanawake.
Ahsante.
Duuhh .. Khanga na kitenge i swear hauwezi nivalisha aiseHuu ni utamaduni wa kiswahili wa zamani Sana, kwa mwanamke Kiswahili hasa wa ki Zanzibar. Wanahisi Mwanamme kuvaa bukta,suruali kipande wakati yuko chumbani na mkewe ni kumvunjia heshima mke wake..
Naamini maneno yako, kwasababu kuvaa kanga au kitenge sio utamaduni wako..Duuhh .. Khanga na kitenge i swear hauwezi nivalisha aise