Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Mkuu geto kwa baharia yoyote hua hakukosekani hiyo kitu kwa ajili ya dharula kama hizo mara nyingi hua zinakua zimesahaulika na mabinti wengine waliopata kupita hapoMI KUNA DEMU JANA KAJA GETO AKATAKA KWENDA KUOGA ETI ANANIULIZA KAMA NINA KANGA AU KITENGE, HII SI NI DHARAU WAKUU?