Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee!! una miaka mingapi kwenye ndoa?Nguo ni nguo tu, ss kwetu bara hatuna hayo mamisuli, unyamwezini tunavaa tu hizo kanga na vitenge. Hamna shida hata lubega wa kitenge au kanga tunapiga tu.
Mijini kuvaa kanga au kitenge asubuhi ukiamka na kutoka chumbani kwangu ni vazi tu jepesi nimevaa, mke wangu ameniandalia kanga moja ndo huwa navaa.
Nisipoiona huwa naibua yoyote ile. Kwake ni furaha tele. Nikiondoka inafuliwa na kutunzwa.
10+aisee..una miaka mingapi kwenye ndoa?
Nguo ni nguo tu, ss kwetu bara hatuna hayo mamisuli, unyamwezini tunavaa tu hizo kanga na vitenge. Hamna shida hata lubega wa kitenge au kanga tunapiga tu.
Mijini kuvaa kanga au kitenge asubuhi ukiamka na kutoka chumbani kwangu ni vazi tu jepesi nimevaa, mke wangu ameniandalia kanga moja ndo huwa navaa.
Nisipoiona huwa naibua yoyote ile. Kwake ni furaha tele. Nikiondoka inafuliwa na kutunzwa.
Hawa ndo vipofu sasa
Limbwata kwa mkeo, mwenye watoto wako 3 , tena namuomba alikoleze sitaki stress.
Kwakweli hata mm men avae kitenge namuona katoka Ubaruku !kwangu big no!Sahihi kabisa, mpaka shati la kitenge mimi sivai mzee.
Huwa namuona Dr Bashiru anavaa shati la kanga ya chama
Limbwata kwa mkeo, mwenye watoto wako 3 , tena namuomba alikoleze sitaki stress.