Nasubiri jibu 😅Kwahiyo kwenye hela kiongezeke na nini?
Ni haiba ya huyo mwanamke, K haikomolewikuna mwamba atabainisha ni kwa namna gani anawakamata wadada kisawasawa mpaka hatua ya kusaliti waume/wapenzi wao.
Naona una dalili za kutafuta justification za usaliti kwa mume wako.Habari..
Nimetamani kushare kuhusu mwanaume limbukeni.
Yule ambae anahisi akikupa ela ndo kamaliza kukupenda na kukujali. Ambae mali yake kila siku inaliwa na vijana wa mtaani, wachora kucha, bodaboda, waha wakopesha vyombo nk.
Halafu unakuta kuna mwamba huku ndani anaijua hii, ila anaona akiawasanua mkisanuka wake zenu atawakosa.
Acha ulimbukeni, upweke hauliwazwi kwa pesa, jiongeze ili uepukane na vilio vya hapa na pale pindi ukisalitiwa.
Asanteni
Asante mzee wangu kwa hii nondo.Tatizo la wanawake wa Siku hizi wakiona mwanaume kajitoa kuwapa Pesa na upendo wanamuona Limbukeni na Mjinga..
Ngoja nikupe facts..
MWanaume hatoi pesa hovyohovyo ila kwa sehemu anayoithamini nakuipenda..
Ipo siku atashtuka kuwa hapendwi na hataweza kukupa tena Hiyo pesa unayomuonea nayo ulimbukeni..
Hatutaki kuona Uzi tena na mabandiko yanayosema wanaume ni wabahili na hawajali wapenzi wao..
Wanawake hamjui Mnalotaka hamjui nini hasa mnataka mpewe na hasa nyinyi wanetu wa 2k..
Yaani mnahisi Mnaijua Dunia kuliko sisi Baba zenu?
Tatizo la wanawake wa Siku hizi wakiona mwanaume kajitoa kuwapa Pesa na upendo wanamuona Limbukeni na Mjinga..
Ngoja nikupe facts..
MWanaume hatoi pesa hovyohovyo ila kwa sehemu anayoithamini nakuipenda..
Ipo siku atashtuka kuwa hapendwi na hataweza kukupa tena Hiyo pesa unayomuonea nayo ulimbukeni..
Hatutaki kuona Uzi tena na mabandiko yanayosema wanaume ni wabahili na hawajali wapenzi wao..
Wanawake hamjui Mnalotaka hamjui nini hasa mnataka mpewe na hasa nyinyi wanetu wa 2k..
Yaani mnahisi Mnaijua Dunia kuliko sisi Baba
Nimekumbusha tu kwa kuwa baba zetu mnatumia pesa kama silaha ya kuangamiza mapenzi ya dhati na kujali, nafasi zenu mnazijaza na pesa sisi ndio tuwape mapenzi tuwajali kumbe pesa sio chochote kwenye uhalisia wa mapenzi ya dhati.Tatizo la wanawake wa Siku hizi wakiona mwanaume kajitoa kuwapa Pesa na upendo wanamuona Limbukeni na Mjinga..
Ngoja nikupe facts..
MWanaume hatoi pesa hovyohovyo ila kwa sehemu anayoithamini nakuipenda..
Ipo siku atashtuka kuwa hapendwi na hataweza kukupa tena Hiyo pesa unayomuonea nayo ulimbukeni..
Hatutaki kuona Uzi tena na mabandiko yanayosema wanaume ni wabahili na hawajali wapenzi wao..
Wanawake hamjui Mnalotaka hamjui nini hasa mnataka mpewe na hasa nyinyi wanetu wa 2k..
Yaani mnahisi Mnaijua Dunia kuliko sisi Baba zenu?
Huyo ndio xixi sio milima tutakutana.Nasubiri jibu 😅
Ukipandisha mada ujue kuidefend kwa hoja zinazoibuka, hujanijibu mkuu.Itabidi tumsubiri yule mwamba anaetupia ndoano kwa samaki bila kuweka dau lolote halafu samaki wanajaa wanapigana wanauana wasimkose mwamba..
Mimi ni samaki tu.
Kwa utamu gan?Habari..
Nimetamani kushare kuhusu mwanaume limbukeni.
Yule ambae anahisi akikupa ela ndo kamaliza kukupenda na kukujali. Ambae mali yake kila siku inaliwa na vijana wa mtaani, wachora kucha, bodaboda, waha wakopesha vyombo nk.
Halafu unakuta kuna mwamba huku ndani anaijua hii, ila anaona akiawasanua mkisanuka wake zenu atawakosa.
Acha ulimbukeni, upweke hauliwazwi kwa pesa, jiongeze ili uepukane na vilio vya hapa na pale pindi ukisalitiwa.
Asanteni
Mkuu hayo ya pesa ni nyie, kwahiyo hamzitaki pesa tena?Nimekumbusha tu kwa kuwa baba zetu mnatumia pesa kama silaha ya kuangamiza mapenzi ya dhati na kujali, nafasi zenu mnazijaza na pesa sisi ndio tuwape mapenzi tuwajali kumbe pesa sio chochote kwenye uhalisia wa mapenzi ya dhati.