Mwanaume limbukeni

Having enough money for the basic necessities of life as well as your wants and needs usually means a happier life.
Nazungumzia pesa ya kuhonga upate penzi la dhati, kwasababu pesa ya kula, kuvaa kulaa inaleta faraja maishani sio mapenzini.
 
Umemsaidia kuelewa, kama hajaelewa hapa basi ni kubwa jinga
 
Ni kama vile wasiotoa hela hawasalitiwi
Wanasalitiwa, lakini
Mara chache sana kwasababu kipengele kinachowaweka wakadumu mapenzini ni mapenzi ya dhati sio pesa.
Na wakiachwa hawalii sana
 
Kwahiyo ume fall kwa muha mkopesha vyombo

Endelea kugawa kama njugu km zinasoma dashboard haijawahi danganya.
 
Tuseme aninyime ela halafu anijali aniliwaze anibembeleze, linganisha hapo. Ukisema unipe ela kwa dhana kwamba ndio jukumu lako kama Mwenza halafu majukumu mengine umuachie bodaboda utanikuta kesho sipo nimehamia kwa bodaboda nimekuachia ela zako.
Wakulungwa huyu binti ana hoja nzito! Mahusiano haşa ya mapenzi si kitu rahisi kama wengi tunavyodhani. Kila upande katika mapenzi una vipaumbele vyake. Ni kosa kwetu wanaume kudhani hela ndicho kipaumbele cha kila mwananke. Kuna wengine kweli ni kipaumbele lakini wengine hela ni kichocheo cha mapenzi ingawa ni muhimu katika maisha ya mwanadamu ya kila siku.

Hii imenikumbusha jinsi ndoa ya Rafiki yangu ilivyoyeyuka baada ya miaka 25. Yeye kwa vile alizaliwa katika familia maskini ila kichwani si haba, alipokwenda kuchukua PhD ikabidi aambatane na familia yake. Pamoja na kusoma alifanikiwa kupata kazi chuoni za kupublish, hivyo alikuwa busy ofisini hadi wakati mwingine kurudi kwake ilikuwa ni saa 9 usiku.
Ni mengi ila familia ilipoteana kabisa maana
Familia ilijiona ameitupa ingawa alikuwa anatafuta pesa na kuitunza kama head of household.

Nazidi kukazia kuwa xixi ana hoja, hebu wanaume wa shoka hapa JF muitafakari kwa makini hasa wakati huu sisi tunaofunga!
 
Tatizo mademu hamjui mnataka nini
 
Duh. Kumbe ni hela..
Lakini naamini imeeleweka kwamba ni maokoto na si kingine.
 
Kwahiyo ume fall kwa muha mkopesha vyombo

Endelea kugawa kama njugu km zinasoma dashboard haijawahi danganya.
huu ni mfano ambao umebase kwa watu walio karibu na wanawake kwa namna moja au mbili
 
Pamoja na yote unayolalamikia, appreciate hela za watu binti, kila mtu anaihitaji hela yake, Kwahiyo kama ameamua kukupa wewe ni kitu cha kupongezwa.

Kama unafanya kazi/biashara na unaingiza hela hope unajua kuwa sio rahisi.

Duniani huwezi kupata kila kitu, mwenye pesa hana muda na mwenye muda hana pesa. Chagua moja.
 
OK,
Kwahyo sasa ikatokea nikamchagua huyu mwenye pesa ambae hana muda, halafu akafika mahali uchumi ukayumba au akafilisika.

Nikimuacha huyu jamaa nakuwa nimemuonea?

Na akigoma kuachika nikamuita LIMBUKENI nakuwa nimemkosea?

Na hiko ndio chanzo cha ulimbukeni na si vinginevyo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…